IROKOS
JF-Expert Member
- Aug 13, 2011
- 10,184
- 7,819
Mkuu hii hata kwenye Dish huwa inasumbua sembuse antenna??Vp kwenye mvua au mawingu mazito vinasumbua au inakuwaje
Mkuu hii hata kwenye Dish huwa inasumbua sembuse antenna??Vp kwenye mvua au mawingu mazito vinasumbua au inakuwaje
Interesting....Wakati mwingine sio utajiri ni ujanja tu, mimi naangalia ligi zote za mpira ulimwenguni, tennis, mbio za magari, baiskeli, mieleka ya WWE naiona live wakati nyie mnasubiri recorded ya miezi 6 baadae, muvi mpya, discovery , national geographic...zote HD na 4K....mahojiano ya Oprah na Prince Harry na Meghan kupita CBS ambayo wabongo wenzangu mtayaona mwakani (lol). Habari naangalia cnn, fox,abc, nbc, aljazeera .. yote hayo kwa chini ya sh elfu 5(tano) kwa mwezi....
Tupeane huu ujanja mkuuWakati mwingine sio utajiri ni ujanja tu, mimi naangalia ligi zote za mpira ulimwenguni, tennis, mbio za magari, baiskeli, mieleka ya WWE naiona live wakati nyie mnasubiri recorded ya miezi 6 baadae, muvi mpya, discovery , national geographic...zote HD na 4K....mahojiano ya Oprah na Prince Harry na Meghan kupita CBS ambayo wabongo wenzangu mtayaona mwakani (lol). Habari naangalia cnn, fox,abc, nbc, aljazeera .. yote hayo kwa chini ya sh elfu 5(tano) kwa mwezi....
Hapa JF kuna jukwaa la teknolojia kuna uzi mmoja wa haya mambo yanaongelewa sana, sema wengi wa wachangiaji ni majirani zetu ambao hawafyatuki kama wabongo, wanaongea kwa code hadi uwaelewe inabidi kutumia bongo....kwa kifupi haya mambo yapo wazi tuTupeane huu ujanja mkuu
100% ndio!Nje ya mada wadau . nataka kuongeza king'amuzi cha azam . je naweza kutumia dishi la sasa la DSTV . nikimaanisha dishi DSTV ila king'amuzi azam