Kinga ya bunge dhidi ya mh:Pinda

khairun

Member
May 10, 2012
68
42
Wanaharakati wanaonekana kuweweseka na kauli ya Waziri mkuu kwa kuwa wao ni washawishi wakubwa kwa watu kuandamana, na kwa kauli ya waziri mkuu wanajiona wao nao watakuwa wahanga wa kauli hiyo, Hivi hawajui au wamesahau kuwa mbunge hatashitakiwa kwa kauli yoyote aliyoitoa bungeni. Pinda aliongelea bungeni, mimi naona wanatakiwa waombe muongozo wa spika kwa kutumia wabunge na sio kwenda mahakamani, hapa itakula kwao.
 
Kinga ya mbunge ni pale anapoongea jambo akiwa ndani ya bunge, na pinda ni mbunge na ameongelea ndani ya bunge.Kinga ipo palepale.
 
Sasa katiba italindwa na nani kama anayepaswa kuilinda ndo kaivunja? wataalam wa sheria watuelimishe kwa hili.
 
kwa hiyo pinda angesema hata ikibidi wapigwe risasi watu wakae kimya kwa sababu anayo kinga bungeni?. kweli maendeleo tz yatachukua miaka mingi kwa mtindo huu.
 
wanaojiita wanaharakati wa LHRC ni makada wa chadema niliwaona kwenye ITV ni wachagga, je unategemea watatumia weledi kujua kama mbunge akisema bungeni anashtakiwa au maamuzi yake ataongozwa ubavicha?
 
wanaojiita wanaharakati wa LHRC ni makada wa chadema niliwaona kwenye ITV ni wachagga, je unategemea watatumia weledi kujua kama mbunge akisema bungeni anashtakiwa au maamuzi yake ataongozwa ubavicha?
Mwingine huyu..eti ni makada wa CDM kwa kuwa ni wachaga..unaweza kuconclude kirahisi hivyo?..wachaga wote ni CDM?...kwa hiyo Cyril Chami na Mwanri walichaguliwa na CDM?..
 
Hakuna kinga kwa mtu yeyote anayesigina katiba hata akiwa ikulu,unakurupuka hapa na akili yakon fupi ya kutumia ma------,sheria ya kinga ndani ya bunge haiko juu ya katiba,kunaopokuwa na mgogoro katiba na sheria iliyowekwa kwa mjibu ya katiba ,its is the constitution which prevails,
 
wanaojiita wanaharakati wa LHRC ni makada wa chadema niliwaona kwenye ITV ni wachagga, je unategemea watatumia weledi kujua kama mbunge akisema bungeni anashtakiwa au maamuzi yake ataongozwa ubavicha?

Huyu taahira naye katoka wapi tena?
 
Wanaharakati wanaonekana kuweweseka na kauli ya Waziri mkuu kwa kuwa wao ni washawishi wakubwa kwa watu kuandamana, na kwa kauli ya waziri mkuu wanajiona wao nao watakuwa wahanga wa kauli hiyo, Hivi hawajui au wamesahau kuwa mbunge hatashitakiwa kwa kauli yoyote aliyoitoa bungeni. Pinda aliongelea bungeni, mimi naona wanatakiwa waombe muongozo wa spika kwa kutumia wabunge na sio kwenda mahakamani, hapa itakula kwao.

kwahyo waimanisha hyo kauli iliyotolewa bngeni haitafanyiwa kazi na askari?
 
Wanaharakati wanaonekana kuweweseka na kauli ya Waziri mkuu kwa kuwa wao ni washawishi wakubwa kwa watu kuandamana, na kwa kauli ya waziri mkuu wanajiona wao nao watakuwa wahanga wa kauli hiyo, Hivi hawajui au wamesahau kuwa mbunge hatashitakiwa kwa kauli yoyote aliyoitoa bungeni. Pinda aliongelea bungeni, mimi naona wanatakiwa waombe muongozo wa spika kwa kutumia wabunge na sio kwenda mahakamani, hapa itakula kwao.
Kinga haina mipaka..??? Yaani hata mtu akiamua ampige spika au yeyote yule akiwa ndani ya bunge bado atakuwa na kinga..??
 
Kwa hiyo mtu akiwa bungeni...hata akivunja katiba aache tu kisa aliongea akiwa bungeni....acheni ujinga
 
Katiba ndio sheria mama,sheria nyingine zooote zinatokana na katiba,kwa mantiki hiyo basi kama sheria inakinzana na katiba kwa vyovyote vile katiba itasimama juu ya hiyo sheria.
 
wanaojiita wanaharakati wa LHRC ni makada wa chadema niliwaona kwenye ITV ni wachagga, je unategemea watatumia weledi kujua kama mbunge akisema bungeni anashtakiwa au maamuzi yake ataongozwa ubavicha?

umetumwa wewe??Hebu kaulize tena
 
Back
Top Bottom