Bujibuji Simba Nyamaume
JF-Expert Member
- Feb 4, 2009
- 74,955
- 156,157
Duhhh,wanaojiita wanaharakati wa LHRC ni makada wa chadema niliwaona kwenye ITV ni wachagga, je unategemea watatumia weledi kujua kama mbunge akisema bungeni anashtakiwa au maamuzi yake ataongozwa ubavicha?
yaani mtu umemuona kwenye tv kisha ukajua kuwa ni mchagga?
Kweli bange ni mbaya, kama sio bange vitakuwa ni vitu vingine tu vya kimila kama laana, kubemendwa na makuzi mabaya