Idd Ninga
JF-Expert Member
- Nov 18, 2012
- 5,539
- 4,852
Pole wee! Ningekuwa mwanaume mimi!! Yereuwiiiiiiiii
ungefanyaje kwani ?
Pole wee! Ningekuwa mwanaume mimi!! Yereuwiiiiiiiii
Mtoto NIDO imesimama vizuri, Mswati anafaid I kila mwaka anakata utepe yeye tu wengine tunazeeka hata ya SHABU hatujakutana nazo
ungefanyaje kwani ?
Kuweka picha ya hivyo ndo kufaidi kama ni kitu chema hebu tupia picha ya mwanao akiwa matiti yakiwa nje,utu wa mwanamke ni matiti yake lakini mwaona fahari juu ya hili,ole iko siku.
Nashangaa mod.kuacha picha kama hii,inayokwenda kinyume cha maadili.
Tezi dume linamnyemelea Mswati.