Hata mvuta sigara iwa haachi gafla anaacha pole pole au taratibu
Acha fitna wewe,nani kakuambia kuwa muziki una mahusiano na hizo bange na mademu?Mademu na bange hayo ni maamuzi ya mtu mmoja mmoja,niambie ni sheria ipi inayosema kuwa lazima uvute bange ili uwe mwana mziki wa bongo fleva!!
Mpwa hicho chako kilema,
Japo huishi kilema,
Au umemwoowa Wema?
Nilikona mwema,
Au unaishi kwenye hema?
Hayo Maradhi,Au umeachiwa radhi?
Wafanyakazi wa ardhi!!!
Kweli noma.
Mpwa keshanogewa kuchezea vya kunyea,
Hawezi kutuelewa, utamu umemzidia,
Sikua atapo lemewa, njia yake kuzibia
Na bomba kuzibuliwa, ndipo atakapo jutia.
Mpwa keshanogewa kuchezea vya kunyea,
Hawezi kutuelewa, utamu umemzidia,
Sikua atapo lemewa, njia yake kuzibia
Na bomba kuzibuliwa, ndipo atakapo jutia.
Hata mvuta sigara iwa haachi gafla anaacha pole pole au taratibu
Aiseee,Kuna uwezekano mvutaji huyo wa sigara alikua anavuta nyingi kwa siku,pouwa utaratibu mzuri wa kuacha kitu mkuu fidel keep up,
Kama kawa nyie endeleeni kulumbana mm huyooooo Steers kunywa kahawa na BHT.
sasa ndo unamwaga fyuweli kwenye moto au?
Hope BHT wherever she is getting this,
Beside havent gotten any from her -its painful.
Nguli mi sina kipaji kabisaaaaaaaa hata ukimuuliza madam rita....she is my witness.
You two stop this now oooooohhhh!!
sasa ndo unamwaga fyuweli kwenye moto au?
Nipo nasoma chuo hapa kurasini cha mambo ya uhusiano wa kimatifa.
Chagua 1 ugomvi uishe.
Chagua 1 ugomvi uishe.
none of the above
Mliochangia mada hii mnadakia tu mambo na si kuchanganua mambo, kisa mdau pale juu kamtaja King Crazy GK kama Nguli akimaanisha Mahiri wa fani hiyo ya muziki na kwa bahati kuna ndugu analog in kama Nguli naye akajieleza pale mkajua ndiye mwenyewe King Crazy GK. Aliyetoa maelezo hayo. Someni kwanza kabla ya kuchangia, maana naona kuna watu wakiingia humu badala ya kuonesha ujuzi wa kufikiri kama one among great thinkers wanakuja na ubishi na lugha chafu, kama hamna mada laleni mpate afya njema. kama kuna mdau anafahamu ndugu yetu King Crazy GK yuko wapi atupe habari maana kusema ukweli ukitaja bongo 'flavour' jina la King Crazy GK nalo litakumbukwa jamani.
So its true?
none of the above