Rutashubanyuma
JF-Expert Member
- Sep 24, 2010
- 219,470
- 911,174
Lakini ni mimi tu na yule mama ndio tuliokuwa tunaujua ukweli huo, halafu na mungu.
Mtambuzi nimeipenda simulizi hii ina mafunzo yake ila siku nyingine Mwenyezi Mungu mmwandike kwa kuanza na herufi kubwa kuonyesha waishi kwa hofu Yake tu...........................na wala siyo vinginevyo.
Last edited by a moderator: