imhotep
JF-Expert Member
- Oct 13, 2012
- 47,313
- 72,432
Wapinzani tutaonekana wapuuzi tukiwa tunabwabwaja tu bila facts kwenye mambo muhimu.Ndiyo imetoka hiyo
Wapinzani tutaonekana wapuuzi tukiwa tunabwabwaja tu bila facts kwenye mambo muhimu.Ndiyo imetoka hiyo
Facts nyengine hizo?
Tundu Lisu ndiye presidential material lkn tataizo tuna Tume Mtu badala ya Tume Huru.Tundu Lissu
Huyu Mama asiogope anakubalika atupe Tume HURU ya uchaguzi huenda hata akatushinda kihalali ila amezungukwa na watu wagumu sana kuelewa.Tundu Lisu ndiye presidential material lkn tataizo tuna Tume Mtu badala ya Tume Huru.
NB. Tume ikiwa huru ccm nchi nzima wakatafute kazi nyingine
Tatizo nyie wengi matapeli hamna hofu ya mungu ,hamja staarabika Bora wote wawe WA kanda ya pwani, mbona nyerere alimaliza Mikoa ya pwaniPwani imetoa mawaziri 5 na Tanga 4 utadhani sehemu zingine hakuna watu
Ila anatumiwa vibaya atafute chama chake kuliko kile cha kaskazini cha mbowe la sivyo uraisi atausikia kweny Bomba.Huyu Mama asiogope anakubalika atupe Tume HURU ya uchaguzi huenda hata akatushinda kihalali ila amezungukwa na watu wagumu sana kuelewa.
Alimalizaje?Tatizo nyie wengi matapeli hamna hofu ya mungu ,hamja staarabika Bora wote wawe WA kanda ya pwani, mbona nyerere alimaliza Mikoa ya pwani
Poa sisterFacts nyengine hizo?
So?Wapinzani tutaonekana wapuuzi tukiwa tunabwabwaja tu bila facts kwenye mambo muhimu.
2025 mwisho wenuSi uwatoe wewe myahudi koko au umelewa mbege?
Unatuaibisha bro Chadema hatuko hivyo, unatakiwa unakuja na facts tunazijadili. kumshutumu mtu kuwa ni Mdini ni tuhuma NZITO Mkuu..
Pwani na Tanga wametoa mawaziri wa ngapi? Arusha kuna Waziri hata wa dawa?Unatuaibisha bro Chadema hatuko hivyo, unatakiwa unakuja na facts tunazijadili. kumshutumu mtu kuwa ni Mdini ni tuhuma NZITO Mkuu..
Waha,makabila ya wanyema na Wabembe kutoka fiziHivi Mkoa wa Kigoma unamakabila mangapi?
Hivi Hayati Laurent Desiree Kabila alikuwa ni Mbembe? nimemsima sana wakati akianzisha harakati za kuikomboa Kongo akiwa pale Fizi.Waha,makabila ya wanyema na Wabembe kutoka fizi
Si tulikubaliana hatushiriki uchafuzi wowote,utakaopewa jina la uchaguzi.2025 mwisho wenu
Kwahiyo unaona kuna ubaguzi wa Kimikoa? hiyo ni hoja dhaifu, Mikoa mingi haina hata makatibu wa Wizara.Pwani na Tanga wametoa mawaziri wa ngapi? Arusha kuna Waziri hata wa dawa?
Sijui mkuu.Hivi Hayati Laurent Desiree Kabila alikuwa ni Mbembe? nimemsima sana wakati akianzisha harakati za kuikomboa Kongo akiwa pale Fizi.
Wabembe hata Tabora (Mboka Manyema) ni wengi sana Tabora ni moja ya Mikoa niipendayo sana.Sijui mkuu.