Petro E. Mselewa
JF-Expert Member
- Dec 27, 2012
- 10,197
- 25,517
Makamu Mwenyekiti wa CCM Taifa, Abdurahman Kinana amekemea tabia ya viongozi na makada wa CCM kuwadhalilisha watendaji wa Serikali kwenye majukwaa ya kisiasa.
Pamoja na kukiri kuwa chama tawala kinaisimamia Serikali na kuishauri, Kinana amesema si vyema viongozi na makada wa chama tawala kuwadhalilisha watendaji wa Serikali.
Kinana ameyasema hayo leo huko mkoani Geita na kuwataka viongozi na makada wa CCM kumuiga Rais Samia Suluhu Hassan ambaye hajawahi kuwadhalilisha watendaji wa Serikali majukwaani pamoja na kuwa Mwenyekiti wa CCM Taifa.
Pamoja na kukiri kuwa chama tawala kinaisimamia Serikali na kuishauri, Kinana amesema si vyema viongozi na makada wa chama tawala kuwadhalilisha watendaji wa Serikali.
Kinana ameyasema hayo leo huko mkoani Geita na kuwataka viongozi na makada wa CCM kumuiga Rais Samia Suluhu Hassan ambaye hajawahi kuwadhalilisha watendaji wa Serikali majukwaani pamoja na kuwa Mwenyekiti wa CCM Taifa.