jd41
JF-Expert Member
- Aug 23, 2015
- 3,756
- 4,849
Mnatapatapa tu baada ya mgombea wenu kudhihirisha hana uwezo katika kukabiliana na changamoto za kazi ya urais.
Hana moral authority ya kupambana na ufisadi kwa sababu na yeye ni fisadi.
Hana uwezo kiafya.
Hana uwezo kifikra kutokana na madhara yatokanayo na ugonjwa unaomsumbua.
Serikali ya Marekani haihitaji kuambiwa na mtu wa nje kuhusu wasifu wa wagombea Urais wa Tanzania
Hivi kwa akili zako unadhani serikali ya Marekani hawafahamu wasifu wa Lowassa?
Hujasoma kwenye wikileaks kuhusu angalizo la serikali ya Marekani linalomuhusu Lowassa.
Pitia hapa ili usome wanachokisema Wamarekani
..we pumbavu kwani wamarekani ndio wakina nani? mmeishiwa hoja ss ni wazi mnaomba msaada nje ..mae zenu, waache waseme,waandike,wachore, watapike, lowasa ndio Rais wa Tanzania come october 2015!
Hao funza wako ulio attach hapo wasome mwenyewe na magamba wenzio muendelee kujiliwaza..
#kenge!