Erythrocyte
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 137,690
- 272,555
mkuu tunakushukuru sana kwa kufichua siri hii , kinana ni muoga sana .
Hao Marekani mbona walishindwa Kenya... Mnakumbuka ule msemo "some choices have consequences?..... Umma ukiamua umeamua
Tena sio some choices mkuu, choices zote zina consequences ila inategemea zitakua nzuri au mbaya. Kwa hili, wananchi tuko tayari kwa consequences za kumchagua Lowassa!
mwaka huu hamna jinsi mkuu mjiandae tu kupisha ikuluMabadiliko anzieni nyumbani kwenu kwanza.
Angalia mbali zaidiMarekani wanawezaje kumzuia mgombea uraisi wa nchi nyingine ambayo haiko chini yake?
Mnatapatapa tu baada ya mgombea wenu kudhihirisha hana uwezo katika kukabiliana na changamoto za kazi ya urais.
Hana moral authority ya kupambana na ufisadi kwa sababu na yeye ni fisadi.
Hana uwezo kiafya.
Hana uwezo kifikra kutokana na madhara yatokanayo na ugonjwa unaomsumbua.
Serikali ya Marekani haihitaji kuambiwa na mtu wa nje kuhusu wasifu wa wagombea Urais wa Tanzania
Hivi kwa akili zako unadhani serikali ya Marekani hawafahamu wasifu wa Lowassa?
Hujasoma kwenye wikileaks kuhusu angalizo la serikali ya Marekani linalomuhusu Lowassa.
Pitia hapa ili usome wanachokisema Wamarekani
Marekani wanawezaje kumzuia mgombea uraisi wa nchi nyingine ambayo haiko chini yake?
Mnatapatapa tu baada ya mgombea wenu kudhihirisha hana uwezo katika kukabiliana na changamoto za kazi ya urais.
Hana moral authority ya kupambana na ufisadi kwa sababu na yeye ni fisadi.
Hana uwezo kiafya.
Hana uwezo kifikra kutokana na madhara yatokanayo na ugonjwa unaomsumbua.
Serikali ya Marekani haihitaji kuambiwa na mtu wa nje kuhusu wasifu wa wagombea Urais wa Tanzania
Hivi kwa akili zako unadhani serikali ya Marekani hawafahamu wasifu wa Lowassa?
Hujasoma kwenye wikileaks kuhusu angalizo la serikali ya Marekani linalomuhusu Lowassa.
Pitia hapa ili usome wanachokisema Wamarekani