Allen Kilewella JF-Expert Member Sep 30, 2011 18,330 33,958 Mar 25, 2019 #1 Wakati Lowassa alisema hakukutana na Kikwete njiani, bila ya shaka Kinana ana haki ya kusema yeye na Kikwete wamekuzwa pamoja.
Wakati Lowassa alisema hakukutana na Kikwete njiani, bila ya shaka Kinana ana haki ya kusema yeye na Kikwete wamekuzwa pamoja.
Allen Kilewella JF-Expert Member Sep 30, 2011 18,330 33,958 Mar 25, 2019 Thread starter #3 Daudi Mchambuzi said: basi sawa Click to expand... Halafu mtu unategemea wageukane!!
Mangungo II JF-Expert Member Jul 6, 2012 18,022 26,352 Mar 25, 2019 #4 Ogopa sana watu wanaovaa SAA mkono wa kulia Sent using Jamii Forums mobile app
Yamakagashi JF-Expert Member Sep 19, 2016 8,615 17,607 Mar 25, 2019 #5 Mazigazi said: Ogopa sana watu wanaovaa SAA mkono wa kulia Sent using Jamii Forums mobile app Click to expand... Wakoje ? Mimi mwenyewe navaa saa mkono wa kulia kwa sababu natumia kushoto Sent using Jamii Forums mobile app
Mazigazi said: Ogopa sana watu wanaovaa SAA mkono wa kulia Sent using Jamii Forums mobile app Click to expand... Wakoje ? Mimi mwenyewe navaa saa mkono wa kulia kwa sababu natumia kushoto Sent using Jamii Forums mobile app
safuher JF-Expert Member Feb 11, 2019 11,170 15,851 Mar 25, 2019 #6 Mazigazi said: Ogopa sana watu wanaovaa SAA mkono wa kulia Sent using Jamii Forums mobile app Click to expand... Tukoje mkuu?
Mazigazi said: Ogopa sana watu wanaovaa SAA mkono wa kulia Sent using Jamii Forums mobile app Click to expand... Tukoje mkuu?
wa kupuliza JF-Expert Member Jun 15, 2012 15,226 37,576 Mar 25, 2019 #7 Picha hio hio kila siku,tiresome. Sent from my iPhone using JamiiForums
Kingsharon92 JF-Expert Member Aug 10, 2015 7,556 9,531 Mar 25, 2019 #10 Penologist said: Boyz2men. Click to expand... Umekosea mkuu
Kingsharon92 JF-Expert Member Aug 10, 2015 7,556 9,531 Mar 25, 2019 #11 safuher said: Tukoje mkuu? Click to expand... Hana lolote huyo nimekuwa mpaka uzee huu navaa mkono wa kulia
safuher said: Tukoje mkuu? Click to expand... Hana lolote huyo nimekuwa mpaka uzee huu navaa mkono wa kulia