Allen Kilewella
JF-Expert Member
- Sep 30, 2011
- 17,871
- 33,236
Wakati Lowassa alisema hakukutana na Kikwete njiani, bila ya shaka Kinana ana haki ya kusema yeye na Kikwete wamekuzwa pamoja.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Halafu mtu unategemea wageukane!!basi sawa
Wakoje ? Mimi mwenyewe navaa saa mkono wa kulia kwa sababu natumia kushoto
Tukoje mkuu?
Umekosea mkuuBoyz2men.
Hana lolote huyo nimekuwa mpaka uzee huu navaa mkono wa kuliaTukoje mkuu?