Kinana live chanel ten muda huu

Kinana live chanel ten muda huu

Kinana hana jipya la kuleta zaidi ya kuendeleza ufisadi kama kawaida yake. Nadhani naye kama Msekwa na Makamba amerejea kuwatafutia watoto wake kazi hasa za kisiasa. Sioni mwanga kwenye NEC mpya zaidi ya kuwa ngoma ile ile ya manyang'au. Hata hivyo hatua waliyopiga CCM kuelekea makaburini ni nzuri kwa upinzani kama utajipanga vizuri.
 
Hakuna wa kuzuia natural death...mgonjwa (CCM) baada ya kukataa uji muda mrefuu ghafla ameanza kuchangamka, sijui atapona maskini...
 
anazungumziaje kumiliki kampuni inayosapoti uharamia??

kiuwajibikaji zaidi alitakiwa awe jela kwani yeye ndiye mmiliki wa kampuni
 
Ccm wote wanafanana kwa unafiki na fitina. Kinana ni miongoni mwa watu walioandaliwa kwa ajili ya mikakati ya wizi wa kura za wapinzani 2015!
 
hata mkama nae aliingia na mbwembwe hizihizi,kiko wapi?huyu msomali nae ni upepo tu atapita na ****** wake
 
mipango ya wezi siku zote nikutafuta mbinu za kuiba bila kukamatwa na siku zote wanapanga kuwa mbele ya wanaowaibia. na tukitaka kujua tabia zako tuletee marafiki zako
 
Kinana tunakusubiri huku arusha upokee kadi za wapinzani upokee wanachama na kutoa rasmi jeneza la wapinzani
 
Mangula,kinana,nape, mwigulu nchemba madelu lameck hawa ndio washambuliaji watakaopeleka msiba kaskazini kutokea pale kinondoni manyanya mtaa wa manhattan
 
katika kipindi cha jeneral on mondey leo mgeni ni katibu mkuu wa ccm ndugu abrahaman kinana nawasilisha.....

mimi mara nyingi nashinda huku aljazeera,,
nikiona katokea huku kwa bahati mbaya nazima tv yangu na naivunjilia mbali...!!
 
Kinana tunakusubiri huku arusha upokee kadi za wapinzani upokee wanachama na kutoa rasmi jeneza la wapinzani
Mkuu mbona kinana anakuja Arusha kwa ziara ya ''kiserikali'' kuja kufufua viwanda vilivyokufa!!

Wapinzani wanatoka wapi hapa?
Umekaririshwa vitu tu.
 
Mangula,kinana,nape, mwigulu nchemba madelu lameck hawa ndio washambuliaji watakaopeleka msiba kaskazini kutokea pale kinondoni manyanya mtaa wa manhattan
Msiba tena?

Majukumu yao makuu ni kuwafukuza mafisadi ndani ya CCM hasa hasa Lowassa, sasa sijui unamaanisha kambi ya Lowassa ndio inakwenda kuzikwa?

Maana Lowassa anatoka Kaskazini na mitaa ya kinondoni inasemekana ana nyumba kadhaa.
 
Kuhusu meli zake na meno ya tembo anjibuje?
Mie nahisi kichefuchefu kumsikiliza fisadi tena lile la alshabab

Alikunja uso akasepa kwa msaada wa Jenerali Ulimwengu; Yaani hakufungua mdomo kabisa kama kamwagiwa maji ya baridi. Swali liliulizwa na jamaa mmoja wa Kinondoni.
 
Back
Top Bottom