Bora Mukama kidogo.
Ukimchunguza vizuri ni kama mtu mwenye cheo lakini hana mamlaka ndani ya chama.
I don't why?
Ukimchunguza vizuri ni kama mtu mwenye cheo lakini hana mamlaka ndani ya chama.
I don't why?
Dah!! Kweli hizi lugha za watu ni noma.I don't why???? Really? We kwa utani wewe!
Umeona eeeh!!!CCM bana promo wanapata lakini pumzi ndogo, em assume kingekuwepo kichwa Slaa, au Lissu ingekuweje
Umeona eeeh!!!
Jamaa badala ya kushusha nondo za ukweli naona anazunguka mbuyu tu.
Kama kuna kada yoyote wa CCM ameangaalia kipindi hichi, nina uhakika atakuwa kaingiwa na woga mkubwa sana wa kuogopa kufanya mahojiano au midahalo.
....na hivi ndo vichwa vya chama, eti huyu ndo Dr.Slaa wao, kweli CCM ni genge la vilaza
Kama kuna kada yoyote wa CCM ameangaalia kipindi hichi, nina uhakika atakuwa kaingiwa na woga mkubwa sana wa kuogopa kufanya mahojiano au midahalo.
Maana kama katibu mkuu mwenyewe hana majibu ya uhakika kuhusu chama anachokiratibu usiku na mchana, vipi makada wadogo?
Nani huyo anamuinua Kinana?Hata ivo inaonekana kabisa kuwa kuna mpango wa kumuinua kinana mpaka kuwa mgombea wa uraisi, hicho ndo nakiona. na lengo ni ku kupunguzw moto wa mh. lowasa. anaebisaha aseme hapw
Umeona eeeh!!Nimemsikiliza mwanzo mwisho.Yaani Kinana ni mtupu kabisa.Nimeamini Mukama alikuwa jembe.Kumlinganisha Mukama na Kinana ni sawa na kumlinganisha Tembo na Sisimizi.Kumuondoa Mukama CCM inakwenda kufa.