Kinana kugombea ubunge Arusha mjini

Kinana kugombea ubunge Arusha mjini

Safi sana bora ili Arusha uwe mji wa soko ka kimataifa la meno ya ndovu.
 
Wana JF taarifa zikizopo ni kuwa katibu mkuu wa CCM bwana Kinana atagombea ubunge katika jimbo la Lema mwaka 2015,hivyo wagombea wote na Lema mjiandae kisaikolojia,linakuja jembe

Tangia achaguliwe kuwa katibu mkuu wa ccm hajawai fanya mkutano wowote wa adhara A.town.Anapaogopa balaa.
 
huyo msimdanganye akaja a town.atagsragazwa hamtaamini pimeni upepo .ila jaribuni pesa si mnazo.
 
Kugombea ubunge ni kitu kingine, na kuwa mbunge ni kitu kingine. Tunamkaribisha sana Arusha aje avune aibu yake. Atatueleza alikowapeleka tembo wetu
 
Naamin watu wowote makini ktk chaguzi zote duniani huwa hawachugui chama bali mtu makini na si vinginevyo,
 
Aendee akagombee Mogadishu pamoja na Boko haram a.k.a abakorakamo
 
Last edited by a moderator:
Wana JF taarifa zikizopo ni kuwa katibu mkuu wa CCM bwana Kinana atagombea ubunge katika jimbo la Lema mwaka 2015,hivyo wagombea wote na Lema mjiandae kisaikolojia,linakuja jembe


Amesafisa jalada lake UHAMIAJI?
Ni raia halali au ni mhamiaji haramu toka Somalia?
Ni udadisi tu

Bazazi
 
Karibu kinana miaka ya 1990 kipindi ukiwa. Mbunge nilishindwa kuhoji zile mashine za kufulia za mount Meru hospital ulizochukua ila sasa ntahoji sana uje na majibu mzee bila kusahahau uhalali wa uraia wako
 
Back
Top Bottom