Kinana kugombea ubunge Arusha mjini

Kinana kugombea ubunge Arusha mjini

Wana JF taarifa zikizopo ni kuwa katibu mkuu wa CCM bwana Kinana atagombea ubunge katika jimbo la Lema mwaka 2015,hivyo wagombea wote na Lema mjiandae kisaikolojia,linakuja jembe

Uku ni kukosa hoja! Kama hatuna cha kupost wakati mwingine tuache uwezi mlinganisha Lema na gwiji la siasa nchini Capt. KINANA.
 
Wana JF taarifa zikizopo ni kuwa katibu mkuu wa CCM bwana Kinana atagombea ubunge katika jimbo la Lema mwaka 2015,hivyo wagombea wote na Lema mjiandae kisaikolojia,linakuja jembe

Hadhi ya kinana ni uraisi wa nchi siyou ubunge. Amekuwa Mbunge na amekuwa waziri hana haja na ubunge.
 
Back
Top Bottom