Umetumiwa ngapi mpka kutuletea uzi huu. Kama CCM haiogopi ije hadharani kutwambia:Jee wewe umelipwa ngapi? au nyinyi ndio wasema ukweli tuu.
1. Ni akina nani wameficha mabilioni USWISS? list SI IPO KWA wabunge wa CDM sii ndio wenye agenda hiyo, na mna wajua hao wote ukianza na MTEI,nk......
2. Ni nani anaua tembo wetu na kwa nini hawakamatwi wakati wana intelligensia kibao: Ni majangili wakiwemo wengi wa kutoka Arusha na Kilimanjaro, ushahidi ni kuwa area kubwa ya usafirishaji ni sehemu hizo.
3. Tunapata nini kwenye raslimali za asili kama vile madini ya dhahabu, almasi, Tanzanite,KODI,AJIRA, MZUNGUKO wa PESA na Hasara vilevile.
4. Kuna manufaa gani kwenye safari za Mkulu nje ya nchi tangu aingie madarakani? MATOKEO YA SAFARI YAKE YA UJAPAN NI USHAHIDI TOSHA, ni kama unamuda wa kusoma magazeti inayo onyesha mikataba inayosainiwa
5. Ni nini faida ya ujio wa viongozi wakuu wa nchi kubwa duniani hapa Tanzania: MISAADA YA HEALTH, EDUCATION , AND ECONIMICAL ASSISTANCE na tusisahau uwekezaji na PUBLICITY YA AINA YA PEKEE.....
6. Kwa nini makampuni mengi ya madini karibu yote yanatoka Kanada : IT WAS THE BEST MINNING DESTINATION DURING THE 60s, SO MANY COMPANIES WERE BASED THERE, THESE COMPANIES HAVE THE BEST EXPERIENCE, FINANCES AND ABILITY>>>
7. Je wametumia hekima gani kumaliza mgogorowa Mtwara? ENGAGEMENT, COMMUNICATION SKILLS na kitu muhimu kabisa IS TO EXPOSE ALL THOSE WALIOKUWA NI WACHOCHEZI NA WANOTAKA KUVURUGA NCHI YETU.
8. Makamu MKiti Bara alituambiakuwa ndani ya miezi sita atakuwa amewawajibisha waliotoa rushwa kwenye kura za maoni na leo kaja na single ingine kwamba wameongezewa tena miezi sita mingine.: Makamu MKiti Bara ALIWAAMBIA WANA CM SIO WEWE WALA CDM, Makamu MKiti Bara IS WELL KNOWN FOR BEING A MAN OF PRINCIPALS AND WHO KEEPS HIS WORDS, LAZIMA TUTAYAONA MATOKEO.
9. Je ile filamu ya kujivua Gamaba iliishia wapi? BADO INAENDELEA, LAKINI SIVYO KAMA MLIVYOITAFSIRI, GAMBA HALIVULIWI KAMA SHATI, LINA KAZI NYINGO. BORA TUWE NA SUBIRA KWA WALE TUPENDAO MAZURI KWA KILA CHAMA.
10. Je mliwachukulia hatua gani waasisi wa CCJ? MBONA HIKO CHAMA HAKIPO, NA KAMA KILIKUWAPO SI WAMERUDI NYUMBANI KWAO.
11. Mtafanyaje kwenye uchaguzi ujao wakati mshajua baadhi ya vigogo wenu washaanza
kupita pita makanisani na misikitini? HIYO NI MBINU YA KISIASA "YOU CANNOT PREDICT POLITICS, THE ONE WHO TRIES TO DO SO IS JUST FOOLING HIMSELF"
12. Unakumbuka ILANI ya CCM kuhusu kuanzisha Mahakama ya KADHI iwapo mngepewa
dhamana? HIYO MAHAKAMA ILIKUWEPO WAKATI WA MKOLONI, HATA WAKATI WA NYERERE, NAO SIONI KAMA INA SHIDA IKIRUDISHWA, INA WAHUSU WAISLAMU NA NI HAKI YAO, HATA SISI TUNAWEZA KUOMBA YETU YA KIKATOLIKI, LUTHERAN, ANGLICAN NK.
13. Utatuambiaje juu ya watoto wetu kufeli na kuchakachua tena matokeo kuondoa aibu? SIO KUONDA AIBU, HIYO INAITWA "DAMAGE CONTROL" IT WAS NEEDED TO CORRECT A BIG WRONG KUDOS TO THE MINISTRY
14. Unasemaje juu ya kuacha raslimali zetu mikononi mwa wawekezaji afu tunapitisha
bakuli dunia nzima kuomba misaada? BILA YA KUWASHAWISHI WAWEKEZAJI NDUGU, HATUTAWE KUFANYA LOLOTE, HEBU ANGALIA MASHAMBA YA MKONGE WALIOPEWA MATAJIRI WAKITANZANIA, WAMECHUKULIA MIKOPO NA KUFANYIA SHUGHULI ZINGINE, NA SASA SERKALI INALAZIMISHWA KUYAREJESHA, NA SIDHANI KAMA ITAFANIKIWA, MADENI YA MABENKI NI MAKUBWA SANA. SO FOREIGN INVESTORS IS A BLESSING...
15. Unasemaje kesi ya akina Mramba kukaa miaka sita mahakamani bila kusikilizwa? INAENDELA NA ITAMALIZWA
16. Inakuwaje Mahalu kushinda kesi dhidi ya serikaliwakati iliungwa mkono na watawala
wote? INAONYESHA KUWA KWELI SEREKALI YA JK NI TRUE DEMOCRACY , JEE HUO USHINDI PIA KUNA SHIDA?
Unaonaje ukileta uzi wa kuzungumzia masuala na siyo watu;;; HILO ATAJIBU MWENYE UZI[/QUOTE]