Kinana asafiri masaa 26 kwa mv songea

Kinana asafiri masaa 26 kwa mv songea

security guard

JF-Expert Member
Joined
Sep 27, 2011
Posts
799
Reaction score
603
Katibu Mkuu wa CCM Ndugu Abdulrahman Kinana anatarajiwa kuwasili Kyela muda si mrefu kutoka sasa akitokea mkoa wa Ruvuma.
Katibu Mkuu atawasili kwa meli ya MV Songea ambayo inatumia masaa 26 na kusimama kwenye vijiji 11.
Akiongozana na Katibu wa NEC Siasa na Uhusiano wa Kimataifa Dk.Asha-Rose Migiro pamoja na Katibu wa NEC Itikadi na Uenezi Nape Nnauye....

Wakiwa wamevalia fulana zenye ujumbe wa CCM "UMOJA NI USHINDI" wameweza kupita kwenye vijiji mbali mbali ambavyo viongozi na wanasiasa wengine huwa hawafiki .

Katibu Mkuu amekuwa akiwaambia wakazi mbali mbali kuwa kazi ya CCM ni kutenda na si kuongea.
 

Attachments

  • 12.jpg
    12.jpg
    423.8 KB · Views: 310
  • z (3).jpg
    z (3).jpg
    35.4 KB · Views: 321
  • 4.jpg
    4.jpg
    329.2 KB · Views: 252
  • 17.jpg
    17.jpg
    451.7 KB · Views: 271
  • 8.jpg
    8.jpg
    34.5 KB · Views: 250
So what???

These pathetic brains are as disastrous and devastating as typhoon Haiyan.

Asubiri kitambo tu, maana atarudisha na kulipa kila uovu aliofanya kuanzia ujangili wa tembo wetu mpaka damu wanazomtuma Nchemba kumwaga.
 
Hii meli ni mpya au imeshafanya hivyo na watu wengine pia????!!!!!
 
Safi nini?vijiji 11 visivyofikika kutokana na utawala mbovu miaka 52 tangu mkoloni mweusi ashike madaraka au?hiyo meli ina umri gani?ni ya mkoloni kama mv.liemba au?

Visingefikika na hao wanafikaje huko?

Nchi nzima ilikuwa haifikiki wakati wa Nyerere. Umesahau? kutoka Dar kwenda Mwanza tu ilikuwa mpaka uende nchi jirani kwanza. Leo tunaona Kikwete kabadilisha sura ya nchi nzima, ilobaki muumie roho zenu tu, miaka 24 Nyerere, miaka 10 Mwinyi na Miaka 10 Mkapa, jumla ya miaka 44 walifanya nini?

Miaka 7 tu ya Kikwete tumeona mabadiliko ya ajabu ambayo hayajawahi kuonekana toka tupate Uhuru.

Wewe ni kweli bongolala.
 
Yaani wakati mwingine mambo wanayojisifia nayo hawa CCM tena katika karne hii, yanatia kichefuchefu kabisa.
 
Good expedition!!!!!!!!!!!!!!!
Your gvt then should soon solve the problem you ever see on your expedition
 
Hivi, uko kote anakokwenda huwa anawaeleza na ukweli aliousema tarehe 14 May 2013, kwenye mkutano wake na CEO round table??
 
isije kuwa anatafuta hifadhi mpya za Tembo.!
 
Visingefikika na hao wanafikaje huko?

Nchi nzima ilikuwa haifikiki wakati wa Nyerere. Umesahau? kutoka Dar kwenda Mwanza tu ilikuwa mpaka uende nchi jirani kwanza. Leo tunaona Kikwete kabadilisha sura ya nchi nzima, ilobaki muumie roho zenu tu, miaka 24 Nyerere, miaka 10 Mwinyi na Miaka 10 Mkapa, jumla ya miaka 44 walifanya nini?

Miaka 7 tu ya Kikwete tumeona mabadiliko ya ajabu ambayo hayajawahi kuonekana toka tupate Uhuru.

Wewe ni kweli bongolala.

ni lichefuchefu mali tulizowapa wazungu namadini tulio nayo pamoja na mbuga za wanyama haviendani na hayo unayosema kama ni barabara ilitakiwa mpaka kila nyumba unakanyaga lami....halafu lami zenyewe za kichina pia ni mkopo...tembea na gari kwenye hizo lami usikie gari lako linavo rukaruka
 
adi leo kuna vijiji havifikiki kutokana na ubovu wa miundombinu, then bado viongoz wa ccm wanasema wamefanya kazi!!
 
Visingefikika na hao wanafikaje huko?

Nchi nzima ilikuwa haifikiki wakati wa Nyerere. Umesahau? kutoka Dar kwenda Mwanza tu ilikuwa mpaka uende nchi jirani kwanza. Leo tunaona Kikwete kabadilisha sura ya nchi nzima, ilobaki muumie roho zenu tu, miaka 24 Nyerere, miaka 10 Mwinyi na Miaka 10 Mkapa, jumla ya miaka 44 walifanya nini?

Miaka 7 tu ya Kikwete tumeona mabadiliko ya ajabu ambayo hayajawahi kuonekana toka tupate Uhuru.

Wewe ni kweli bongolala.

Nyerere, Mwinyi na Mkapa walikuwa wanachama wa hiiCHADEMA!!!!
 
Back
Top Bottom