FaizaFoxy
Platinum Member
- Apr 13, 2011
- 100,506
- 123,802
Nyerere, Mwinyi na Mkapa walikuwa wanachama wa hiiCHADEMA!!!!
Chadema anaijuwa nani wakati huo.
Tanzania hakichaguliwi chama anachaguliwa mgombea. 80% ya wapiga kura walimchaguwa Kikwete unafikiri wote hao ni CCM. Kama ndivyo ulivyo, wewe kweli Zero, hujakosea.