Me I and my self
JF-Expert Member
- Sep 16, 2016
- 4,084
- 8,855
Hii kauli ya JPM ya kusema "kamtuma India akatibiwe" naitafakari siielewi.
Mkuu hyoo ni offside trick ili aonekane mangekimambi muongo lkn kashawastukia na kashazifuta hizo post so huenda hazna ukweli yule ni dada makin na msomii cyo wa huku wana phd za ki........Kuna picha zinasambaa zikimuonesha kinana akifanya shopping UK!
Je hizo picha ni aunthetic?
Za zamaniKuna picha zinasambaa zikimuonesha kinana akifanya shopping UK!
Je hizo picha ni aunthetic?
Magufuli anaupendo wa pekee yaani mama janeth magufuli anatibiwa muhimbili ila kinana anampeleka india....
Kampa ugonjwahivi unatumwaje kutibiwa mkuu?
Kuna picha zinasambaa zikimuonesha kinana akifanya shopping UK!
Je hizo picha ni aunthetic?
Rekebisha hapoMagufuli anaupendo wa pekee yaani mama janeth magufuli anatibiwa muhimbili ila kinana anampeleka india....
Umefikiri vema sana, hata mimi nashangaaMagufuli anaupendo wa pekee yaani mama janeth magufuli anatibiwa muhimbili ila kinana anampeleka india....
Kama tunaamini kwamba anakosea kwenye kuongea kiingereza, tuamini vile vile kwamba na hapa lugha ilimchenga. Maana haikuwa kama unavyoitafsri wewehivi mtu unatumwaje ukatibiwe? ni ugonjwa gani huo ulikuwa unamkera mkuu hadi akamuamrisha akatibiwe? kuna maajabu jamani
"Akili za kuambiwa changanya na zako" JKShe has stood as the voice representing free speech... I don't condone what she is and what she writes and I don't follow her...but you can't hate people by saying things you don't like...particularly when between the lines they are telling the truth
Medium rare tena heri ingekuwa med to well ningejitahidi kula,post kama hizi zisizo na ushaidi ndizo zinazomfanya mkulu aseme watu wa mitandaoni ni wa hovyo hovyo huenda sometime he is rightThis is half cooked meal!
Ukitumia ubongo wako aliokupa Mungu utachanganyikiwa... tumia ubongo wa kuku ili uweze kuielewa io statementHii kauli ya JPM ya kusema "kamtuma India akatibiwe" naitafakari siielewi.
Mange kasema uwongo huuu... khaaa matango poli hayoKuna picha zinasambaa zikimuonesha kinana akifanya shopping UK!
Je hizo picha ni aunthetic?
Itakuwa mkuu anaumwa kinana anamukilisha kwenye matibabu kwasababu mkuu uko ngambo lugha ya malikia aipandihivi mtu unatumwaje ukatibiwe? ni ugonjwa gani huo ulikuwa unamkera mkuu hadi akamuamrisha akatibiwe? kuna maajabu jamani
KweliPicha zipi? Leta hizo picha.
Fimbo zitatibiwa nje?Magufuli anaupendo wa pekee yaani mama janeth magufuli anatibiwa muhimbili ila kinana anampeleka india....