Nguruvi3
Platinum Member
- Jun 21, 2010
- 16,306
- 33,771
???kamtuma akatibiwe India?
Muhimbili ipo vizuri, mke, mama au dada n.k. wanatibiwa hapo
???kamtuma akatibiwe India?
Kiaje..!?Ukitumia ubongo wako aliokupa Mungu utachanganyikiwa... tumia ubongo wa kuku ili uweze kuielewa io statement
???
Muhimbili ipo vizuri, mke, mama au dada n.k. wanatibiwa hapo
Ngoja tumsubiri Dada Mange
Inasikitisha sana mkuuHaya nyumbu mange kawalisha tango pori
ukongaUK you mean ukerewe?
Haya nyumbu mange kawalisha tango pori
Tutatuma baadhi wakatibiwe India, lakini wake zetu watatibiwa MuhimbiliKuna habari humu kwamba bajeti yao ya 4 billion kwa fiscal year 2016/2017 hawajapewa huku ikiwa imebaki miezi miwili tu kwa mwaka wa fedha kukatika. Sijui wanajiendesaje!?
hivi unatumwaje kutibiwa mkuu?
Povu la nini sasa?Picha zenyewe kutoka kwa mange?
Hahahahahha.... Wapinzani wa magufuli ni mambumbumbu mno!
Picha zenyewe kutoka kwa mange?
Hahahahahha.... Wapinzani wa magufuli ni mambumbumbu mno!
Povu la nini sasa?
Mange hajapost bado usikurupuke....rais wenu muongo muongo sana haijapata kutokea
Haya ka.kojo.e ulale tumekusikiaHivi nyinyi maisha yenu kila siku yanafatiliwa na nani mbona ulimbukeni umewazidi kiasi hiki? Mnaishi kwa kuangaliana fulani kala nini kavaa nini as if kuna kitu mtakipata katika maisha yenu. Hizi tabia waachieni wake wenza wenu, kama ni wanaume anzeni kuvaa bikini ili muolewe
Hawezi kuwa sawa akisema watu wa mitandaoni ni wa hivyo hovyo, hata wafanyakazi na wateule wake wapo humu! Ni stress tu zinamsumbua" haamini hata sheria zilizopo. Halafu jaribu kufuatilia utaona sasaivi watu wanaiandika serekali na mkuu vibaya zaidi....lakini ile kamatakamata haipo kama mwanzoni! Kaona hawezi nyamazisha watu kwa kuwakamata, bora aifungie mitandao lakini kwenye cm tulizonunua kwa pesa zetu wenyewe...#asitupangie#Medium rare tena heri ingekuwa med to well ningejitahidi kula,post kama hizi zisizo na ushaidi ndizo zinazomfanya mkulu aseme watu wa mitandaoni ni wa hovyo hovyo huenda sometime he is right
Naona ulicjopendezewa ni sura ya huyo Binti.Ni aibu kubwa na fedheha kwa MTU mwenye akili timamu kumkabidhi chizi jukumu la kufikiri kwaniaba yake!![]()
Are u serious!! According to this Idiot I can say Jf is not the home of GT.
dada halima u made my day daahMagufuli anaupendo wa pekee yaani mama janeth magufuli anatibiwa muhimbili ila kinana anampeleka india....
Tutatuma baadhi wakatibiwe India, lakini wake zetu watatibiwa Muhimbili
Mkuu bajeti ya Muhimbili inakuhusu nini kwi kwi, ukiugua tutakutuma India au South, mke wako atatibiwa Mhuimbili, ushanfahamu! Tujadili maendeleo sasa