Nyoka_mzee
JF-Expert Member
- Nov 26, 2016
- 3,695
- 5,538
Ugonjwa wakutaka kuzungumza na wana habari ndomana mkuu akamtuma akatibiwe akija hapa akae mbali na wana habariiihivi mtu unatumwaje ukatibiwe? ni ugonjwa gani huo ulikuwa unamkera mkuu hadi akamuamrisha akatibiwe? kuna maajabu jamani

