Kinana amsafishia njia Mbowe 2015

Kinana amsafishia njia Mbowe 2015

Kinana amekalia kuti kavu bahat nzuri nyalandu katoa siri kuwa tembo wameongezeka na majangili wanalo wameumia
 
Kazi ipo mwaka huu..,Mwenyekiti wa Chadema anashindwa kufanya kazi zake mpaka Katibu Mkuu wa CCM akafanye kwa niaba yake..kweli CCM ndio baba wa wote.

Unamkumbuka BF wako wa kwanza July, alitumegeaga wewe eti una maji sana, ni bahari, na ndo maana una hasira za karibu karibu, hata yeye alisema alilinote hilo mapema, nafikiri ndo maana unabwabwaja sana
 
Duh kweli bavicha hamnazo...ina maana hata majukumu ya mbunge hauyajui..?? Dah.

MILIONI 25 za mfuko wa jimbo kila miezi mitatu ni za nini..? Kulia bata Bilicanaz au..?

Juliana huko uliko sio sahihi wahi ACT kule utapata shavuu huko ushapotea umebakia humu tu kuandika ujinja ambao wewe na huyo Nape mnaona siasa chukua hata kamusi tu soma maana ya neno politics
 
Haya ndio matatizo ya kutojielewa...

"...Akili za kuambiwa changanya na zako.." By Jakaya Kikwete.

Ila wasiwasi wangu, ni je unazo hixo za kwako za kuchanganyia..???

Unawanukuu na kuwasifia wanauume tu
 
Back
Top Bottom