Juliana Shonza
JF-Expert Member
- Dec 19, 2012
- 2,009
- 1,609
Duh kweli bavicha hamnazo...ina maana hata majukumu ya mbunge hauyajui..?? Dah.Acha ujinga wewe. Mbunge hastahili kufanya hiyo kazi. Wananchi wanalipa kodi hivyo hiyo ni kazi ya serikali ambayo inakusanya kodi kutoka kwa wananchi hao. Mbunge hakusanyi kodi kutoka kwa wananchi, unataka pesa mfukoni mwake ilihali nyie na shoga zako mnafisadi pesa za kodi za hao wananchi. Pumbavu kabisa.
Nilifikiri una akili kumbe ni kopo kabisa. Mbunge anafanya hayo kwa bajeti kutoka wapi? Kutoka mfukoni mwake wakati chama chako kinachukua kodi ya hao wananchi na kugawana.
Dada yangu tumia akili japo kidogo acha ushabiki usio kuwa na maana.
MILIONI 25 za mfuko wa jimbo kila miezi mitatu ni za nini..? Kulia bata Bilicanaz au..?