lumumba the son
JF-Expert Member
- Jun 16, 2011
- 207
- 60
Katibu Mkuu wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) Ndugu Abdulrahaman Kinanaamemsafishia njia mbunge wa jimbo la Hai na Mwenyekiti wa kambi yaUpinzani bungeni Mhe. Freeman Mbowe kwa kuzindua miradi ya maendeleojimboni humo na kutatua kero na changamoto mbalimbali zinazowakabiliwananchi wa jimbo la Hai.
Kinanaambaye yuko Mkoani Kilimanjaro katika ziara yake ya Mikoa mitatuikiwemo Dodoma, Arusha na Kilimanjaro, amefika wilaya ya Hai nakuzindua miradi ya maendeleo ikiwemo kuchangia ujenzi wa shule yamsingi Modio kwa kutoa bati zaidi ya 300 na mifuko ya Cement, iliyopoMasama Mashariki jirani kabisa na kijiji alichozaliwa Mbunge wa Jimbohilo eneo la Machame, iliyopatwa na janga la tetemeko na kubomoka nambunge wa Jimbo hilo kushindwa kuchangia ujenzi kwa muda wote ambaoshule hiyo imepatwa na janga.
Lakinipia Katibu Mkuu ameshiriki ujenzi wa Daraja la MNEPO katika Kitongojicha Kiyungi, daraja la Mnepo ambalo limejengwa kwa waya limekuwalikitumika kwa zaidi ya miaka 30 kuunganisha vijiji viwili vyaKiyungi na Migongweni, na watu wengi kupata kwani daraja hilolimekuwa likikatika mara kwa mara na kusababisha madhara makubwa namauti kwa wananchi wa vijiji hivyo.
Kinanapia amekagua Ujenzi wa Chumba cha X – ray ya Hospitali ya Wilaya yaHai, Kilimanjaro, na kuhimiza kuharakisha ujenzi huo ili kusaidiakuokoa maisha ya watu yanayopotea kwa kukosa huduma ya X – rayhospitalini hapo.
Kinanaanaendelea na Ziara yake leo katika Wilaya ya Moshi na kukagua nakuhimiza utekelezaji wa Ilani ya CCM kwa jimbo la moshi vijijini.
Kinanaambaye yuko Mkoani Kilimanjaro katika ziara yake ya Mikoa mitatuikiwemo Dodoma, Arusha na Kilimanjaro, amefika wilaya ya Hai nakuzindua miradi ya maendeleo ikiwemo kuchangia ujenzi wa shule yamsingi Modio kwa kutoa bati zaidi ya 300 na mifuko ya Cement, iliyopoMasama Mashariki jirani kabisa na kijiji alichozaliwa Mbunge wa Jimbohilo eneo la Machame, iliyopatwa na janga la tetemeko na kubomoka nambunge wa Jimbo hilo kushindwa kuchangia ujenzi kwa muda wote ambaoshule hiyo imepatwa na janga.
Lakinipia Katibu Mkuu ameshiriki ujenzi wa Daraja la MNEPO katika Kitongojicha Kiyungi, daraja la Mnepo ambalo limejengwa kwa waya limekuwalikitumika kwa zaidi ya miaka 30 kuunganisha vijiji viwili vyaKiyungi na Migongweni, na watu wengi kupata kwani daraja hilolimekuwa likikatika mara kwa mara na kusababisha madhara makubwa namauti kwa wananchi wa vijiji hivyo.
Kinanapia amekagua Ujenzi wa Chumba cha X – ray ya Hospitali ya Wilaya yaHai, Kilimanjaro, na kuhimiza kuharakisha ujenzi huo ili kusaidiakuokoa maisha ya watu yanayopotea kwa kukosa huduma ya X – rayhospitalini hapo.
Kinanaanaendelea na Ziara yake leo katika Wilaya ya Moshi na kukagua nakuhimiza utekelezaji wa Ilani ya CCM kwa jimbo la moshi vijijini.