Watanzania hawahitaji watu wanafiki kama kinana, watanzania hatuhitaji watu kama hawa wanaojifanya eti wanawasaidia kulima na kujenga, tunahitaji huduma nzuri kwa wajawazito,watoto, wazee,na watanzania kwa ujumla
watanzania tunataka elimu bora kwa wote sio unafiki wa kinana kuendesha baiskeli kuwalaghai watanzania bali tunataka wezi na mafisadi wafilisiwe,wanyongwe
Kinana ni mnafiki kwa sababu anajifanya eti aonekane anawajali watanzania kumbe ni wale wale wanaofaidika na wizi,ufisadi. tunataka sement ishushwe bei, mabati,nondo na misumali ishuke bei kila mtanzania aweze kujenga nyumba ya kisasa. ETI KINANA ANAWALAGHAI WATANZANIA KWA KUWASAIDIA KUJENGA NYUMBA ZA MATOPE badala ya kushauri mafisadi washushe bei ya cement ili hawa anaowalaghai wajenge nyumba za kisasa