Kinana ameua kabisa upinzani

Kinana ameua kabisa upinzani

Huyu kanali mstaafu wa jeshi hapana chezea kabisa. Pamoja na cheo kikubwa sana alichonacho lakini hajali hali.. Anashiriki kazi za mikono na jamii anayoikuta. Si kulima, kujenga, kuendesha baskeli, bodaboda, kula kwa mama ntilie na hata kuvaa kiatu cha tairi maarufu sendeu kule kwetu.

tabia hii ya kinana ni janga kuu kwa upinzani uliobaki na sera ya maandamano haram ya kuvizia, ya kuhamasisha vurugu,matusi na lugha za kuudhi...

Nawashauri wapinzani waige nyendo za huyu jamaa.

Kinana ameua upinzani na hapohapo unawaambia wapinzani waige kutoka kwa kinana. Unatoaje ushauri kwa kitu kilichokufa. Logic!!!!!!!!!!!!
 
Hali ni tete sana upande wa Wapinzani.
Poleni sana kwa maumivu makali mnayoyapata.
Hiyo ndiyo CCM.
 
wew muislamu feki hujui unachokiongea....ungelijua wala usinge ongea usenge
 
Pia hawahitaji wazinzi na wapora wake za watu kama dr slaa

Muulize Nape alizaliwa na mama kama mke halali wa huyo baba yake? ukipata jibu utajua tabia halisi za huko kwa maCCM.
 
Kama ccm wanatumia polisi kuzuia mikusanyiko ya vyama vya upinzani unategemea nin? Use ur common sense
 
Duh,kwani tembo wameisha mpaka aue upinzani?
Yani mtu anashika jembe dakika 2,akishapigwa picha anakimbia!cha kusifiwa hapo ni nini
 
CCM wana advantage kubwa kwakuwa mambo yao mengi huwa hayaulizwi na hayazuiliwi. Pia kwakuwa wao ni serikali, hata rasilimali za Taifa waweza kuzitumia kwa shughuli za chama na kupata mileage.

Tatizo la upinzani ninaloliona ni kutokuwa na misingi mizuri ya kujitambulisha hasa katika ngazi za vijiji. Hicho ndicho ambacho toka Kinana achaguliwe kuwa Katibu mkuu amekuwa akikifanya na kwa ufanisi mkubwa. Propaganda zake na uongo wakati mwingine wa kuwahadaa wananchi ndio unamwongezea umaarufu katika ngazi hizo. Na hii itakuwa ni mtihani mgumu sana kwa upinzani kuvunja ngome na kufuta nyayo za Kinana. Kwani amejifanya naye ni mnyonge halisi na ameweza kufanya kazi zote za maendeleo hata kama ni kwa dakika mbili na wananchi, na hivyo kujijengea legitimacy yake na chama chake.

Upinzani haujachelewa, uachane na mikutano mikubwa ya Mijini ambako kwa kiasi kikubwa hawahitaji kutumia nguvu nyingi kwani ukiangalia hata matokeo ya Uchaguzi wa 2010; karibu miji yote mikubwa imeshikwa na upinzani (DSM, Mbeya, mwanza,na Arusha)

Waungane, kama walivyoanza kwenye UKAWA na waanze kwenda vijijini, kule ambako hata usafiri na kuwafikia wananchi ni mgumu sana. Huko ndiko kwenye kura. Huko ndiko wenzao wamejijengea legacy ya uongo, na uongo huo unaweza tu kuzimwa kwa wapinzani kufika na kuongea na wananchi. Wananchi wanapaswa kuwaona na si kuwasikia tu.

Anza leo ndugu wapinzani, anzeni sasa. Vinginevyo kazi ya kuwaweka kando CCM itakuwa ni ngumu mno. Na hili litajidhihirisha kwenye uchaguzi unaokuja wa Serikali za mitaa, ambao hata kama wapinzani watagomea (najua watakubali tu baadaye). CCM watapata ushindi mkubwa...kwakuwa walishamaliza kufanya maandalizi mapema.

Wake up wake up wake up upinzani!!
 
Ndugu yangu alshababu asili yao wapi unawajua au unawasikia wanauwezo kushinda njaa siku saba na kutembea nchi moja hadi nyingine ili mradi wanauhakika na maslahi(kama kampuni yako inauwezo kusafirisha contena za meno ya ndovu na usifungiwe leseni kwa nini usipige debe ili serikali dhaifu iendelee kukulinda).
 
Ndugu yangu alshababu asili yao wapi unawajua au unawasikia wanauwezo kushinda njaa siku saba na kutembea nchi moja hadi nyingine ili mradi wanauhakika na maslahi(kama kampuni yako inauwezo kusafirisha contena za meno ya ndovu na usifungiwe leseni kwa nini usipige debe ili serikali dhaifu iendelee kukulinda).
 
Watanzania hawahitaji watu wanafiki kama kinana, watanzania hatuhitaji watu kama hawa wanaojifanya eti wanawasaidia kulima na kujenga, tunahitaji huduma nzuri kwa wajawazito,watoto, wazee,na watanzania kwa ujumla

watanzania tunataka elimu bora kwa wote sio unafiki wa kinana kuendesha baiskeli kuwalaghai watanzania bali tunataka wezi na mafisadi wafilisiwe,wanyongwe

Kinana ni mnafiki kwa sababu anajifanya eti aonekane anawajali watanzania kumbe ni wale wale wanaofaidika na wizi,ufisadi. tunataka sement ishushwe bei, mabati,nondo na misumali ishuke bei kila mtanzania aweze kujenga nyumba ya kisasa. ETI KINANA ANAWALAGHAI WATANZANIA KWA KUWASAIDIA KUJENGA NYUMBA ZA MATOPE badala ya kushauri mafisadi washushe bei ya cement ili hawa anaowalaghai wajenge nyumba za kisasa

joka57 umeandika point mkuu, ukiwa na kiongozi mwenye mawazo ya kimaskini jua hata Taifa zima lazima liwe maskini. huwa nawashangaa watu wanaomsifu Rais Jose Mujica wa Uruguay kwa maisha yake ya kimaskini.
 
Last edited by a moderator:
ivi kile kiti cha (r)laisi wa bongo muvi kwa sasa kinakaliwa na nani? Maana uyu jamaa anafaa kweli kuigiza na watu
 
Hakwenda kuua upinzani bali alikwenda kutafuta nini wapinzani waseme ili 2015 wachukue dola.
 
Hali ni tete sana upande wa Wapinzani.
Poleni sana kwa maumivu makali mnayoyapata.
Hiyo ndiyo CCM.

Vyama tawala pote duniani huamini upinzani hauna nguvu hadi pale vinapoangushwa. Mawazo yako hayana tofauti na hawa.
Historia ni mwalimu mzuri.
 
hata tembo alishawamaliza mbona tunajua JANGILI HYU msomali ni hatar sana
 
Huyu kanali mstaafu wa jeshi hapana chezea kabisa. Pamoja na cheo kikubwa sana alichonacho lakini hajali hali.. Anashiriki kazi za mikono na jamii anayoikuta. Si kulima, kujenga, kuendesha baskeli, bodaboda, kula kwa mama ntilie na hata kuvaa kiatu cha tairi maarufu sendeu kule kwetu.

tabia hii ya kinana ni janga kuu kwa upinzani uliobaki na sera ya maandamano haram ya kuvizia, ya kuhamasisha vurugu,matusi na lugha za kuudhi...

Nawashauri wapinzani waige nyendo za huyu jamaa.

Kibyago cha mpapule
 
Huyu kanali mstaafu wa jeshi hapana chezea kabisa. Pamoja na cheo kikubwa sana alichonacho lakini hajali hali.. Anashiriki kazi za mikono na jamii anayoikuta. Si kulima, kujenga, kuendesha baskeli, bodaboda, kula kwa mama ntilie na hata kuvaa kiatu cha tairi maarufu sendeu kule kwetu.

tabia hii ya kinana ni janga kuu kwa upinzani uliobaki na sera ya maandamano haram ya kuvizia, ya kuhamasisha vurugu,matusi na lugha za kuudhi...

Nawashauri wapinzani waige nyendo za huyu jamaa.

hahaha!! mashati ya kijani ndiyo nguo za kazi.. na mafundi wengine wangevaa hivyo. just a pose for a picture!
 
Back
Top Bottom