idoyo
JF-Expert Member
- Jan 13, 2013
- 3,051
- 1,423
mama yako?
kakunwa mtu..
mama yako?
wew muislamu feki hujui unachokiongea....ungelijua wala usinge ongea usenge
Wewe unaingelea maigizo ya bongo movie
Wabaguzi ccm mpeni basi uraisi mnamtumia tu mwishowe atajichokea kama salim ahmed.
Sema kinana mjanja ni mjasirimali anajua anachofanya
Huyu kanali mstaafu wa jeshi hapana chezea kabisa. Pamoja na cheo kikubwa sana alichonacho lakini hajali hali.. Anashiriki kazi za mikono na jamii anayoikuta. Si kulima, kujenga, kuendesha baskeli, bodaboda, kula kwa mama ntilie na hata kuvaa kiatu cha tairi maarufu sendeu kule kwetu.
tabia hii ya kinana ni janga kuu kwa upinzani uliobaki na sera ya maandamano haram ya kuvizia, ya kuhamasisha vurugu,matusi na lugha za kuudhi...
Nawashauri wapinzani waige nyendo za huyu jamaa.
Huyu kanali mstaafu wa jeshi hapana chezea kabisa. Pamoja na cheo kikubwa sana alichonacho lakini hajali hali.. Anashiriki kazi za mikono na jamii anayoikuta. Si kulima, kujenga, kuendesha baskeli, bodaboda, kula kwa mama ntilie na hata kuvaa kiatu cha tairi maarufu sendeu kule kwetu.
tabia hii ya kinana ni janga kuu kwa upinzani uliobaki na sera ya maandamano haram ya kuvizia, ya kuhamasisha vurugu,matusi na lugha za kuudhi...
Nawashauri wapinzani waige nyendo za huyu jamaa.
Asante babangu kwa ukweli, Kinana ametumika sana na ccm naye kaitumikia kiaminufu na kizalendo . Anastahili huo Uraisi, lakini Sidhani kama yeye yuko tayari kwa hayo, tukumbuke Arusha walipomletea chochezi za kila aina basi yeye aliamua tuu kuwaachia ubunge na akaendelea na biashara zake.
Na sidhani mtu yoyote mwenye kujiheshimu atajiingiza katika kinyanganyiro hicho ambacho kimeshachafuka vibaya sana, lakini angekuwa candidate mzuri sana. Manyangau mengi yanagombania Uraisi
ahaaaaaaaaaaaaaaaaa.Eti Kinana ameua kabisa upinzani?! Unachekesha.. Labda kaua Tembo!
Huyu kanali mstaafu wa jeshi hapana chezea kabisa. Pamoja na cheo kikubwa sana alichonacho lakini hajali hali.. Anashiriki kazi za mikono na jamii anayoikuta. Si kulima, kujenga, kuendesha baskeli, bodaboda, kula kwa mama ntilie na hata kuvaa kiatu cha tairi maarufu sendeu kule kwetu.
tabia hii ya kinana ni janga kuu kwa upinzani uliobaki na sera ya maandamano haram ya kuvizia, ya kuhamasisha vurugu,matusi na lugha za kuudhi...
Nawashauri wapinzani waige nyendo za huyu jamaa.
Kuendesha baiskeli na kula gengeni we mpumbavu sana
Wabaguzi ni chadema ambao wamekithiri kwa udini,ukabila na ukanda