Kinana ameua kabisa upinzani

Kinana ameua kabisa upinzani

unamuona ni jembe kwa sababu polisi hawaziwii maandamano na mikutano yake kama wanavyofanya kwa chadema.ebu siku moja polisi waruhusu maandamano ya chadema hapo ndipo utakapoona kwamba kinana ni ni cha mtoto

mkuu tuache unafiki hembu sema ukweli
 
binafsi siipendi kabisa CCM ila kiukweli KINANA ameihusha ccm. yan wanachama walichakata tamaa lakini hiv ss kinana anajaza umati wa watu kabla ht kampeni hazijaanza. kwa wapenz wa itv wataniunga mkono jinsi alivofunika.
upande wa mtani anakimbizana na matamko hajui chama ni kwenda grassroot.

Nakuunga mkono kinana kaiinua Ccm sana
 
100%, Kabadilisha sana sura ya CCM kwenye macho ya Watanzania.
 
mkuu tuache unafiki hembu sema ukweli

niliokuambia ndio ukweli sema nyinyi uwa hamtaki kukubali ukweli wewe unadhani ni kwa nini polisi wanaziwia maandamano ya na mikutano ya chadema, ebu siku moja waruhusu maandamano ya chadema uone
 
binafsi siipendi kabisa CCM ila kiukweli KINANA ameihusha ccm. yan wanachama walichakata tamaa lakini hiv ss kinana anajaza umati wa watu kabla ht kampeni hazijaanza. kwa wapenz wa itv wataniunga mkono jinsi alivofunika.
upande wa mtani anakimbizana na matamko hajui chama ni kwenda grassroot.
Yaani leo unaukana ukada wako kwenye chama cha magamba?

Itabidi Napee akupe barua ya kujieleza, kwa nini unakisaliti chama 'kipenzi' kwa waTz!
 
Hivi ni kwa nini Kinana asi gombee Uraisi wa nchini hii kwani anaonekana ni mtu anaye guswa sana na kero za common mwananchi. Ni nimfuatiliaji makini pia anaonyesha kuwa na dhamira ya kweli ktk kutatua kero
 
Hivi ni kwa nini Kinana asi gombee Uraisi wa nchini hii kwani anaonekana ni mtu anaye guswa sana na kero za common mwananchi. Ni nimfuatiliaji makini pia anaonyesha kuwa na dhamira ya kweli ktk kutatua kero

Ameshaacha ujangili wa tembo hifadhini?
 
Sisiemu imeua watanzania.Hicho anachokifanya Kinana ni usanii mtupu kuzidi kuwapumbaza watanzania ambao ni wepesi sana kupumbazwa na usanii huo wa rejareja wa Kinana.Huyo atabakia ni yuleyule tajiri mmojawapo ndani ya Sisiemu na miongoni mwa walioliasi Azimio la Arusha.
 
Back
Top Bottom