Kinadada!

Sirikali

Member
Dec 16, 2010
89
36
Mdogo wenu nimependa kibinti cha malawi...mara mbili za mwanzo tuliongea vizuri sana...wiki chache baadaye nilipoanza kuonesha kuwa namtamani akaanza mapozi...uwiii..sikuhizi nikigonga mlango anafungua tunasalimia halafu anaufunga kwanguvu bila kunisemesha chochote..nabaki kwa nje natabasamu tuu...msaada wa mbinu jamani nimdake huyu binti wa miaka 19...shule haipandi kabisa namuwaza all the time.
 
Nipe mbinu jamani, wote tunasoma chuo mwaka wa kwanza, sio watoto kiviiivo.

Waulize wanachuo wenzako wa malawi wanawapataje wasichana wa kimalawi
Pengine unatakiwa uende uchi ! we unaenda na mijinzi yako:A S-alert1:
 
Pengine unatakiwa uende uchi ! we unaenda na mijinzi yako
A%20S-alert1.gif
Haahahah...hadi uchi aaaaaaaaaa
 
Mdogo wenu nimependa kibinti cha malawi...mara mbili za mwanzo tuliongea vizuri sana...wiki chache baadaye nilipoanza kuonesha kuwa namtamani akaanza mapozi...uwiii..sikuhizi nikigonga mlango anafungua tunasalimia halafu anaufunga kwanguvu bila kunisemesha chochote..nabaki kwa nje natabasamu tuu...msaada wa mbinu jamani nimdake huyu binti wa miaka 19...shule haipandi kabisa namuwaza all the time.
soma dogo achana na hayo, kwani mkopo umeshapata?
 
Mdogo wenu nimependa kibinti cha malawi...mara mbili za mwanzo tuliongea vizuri sana...wiki chache baadaye nilipoanza kuonesha kuwa namtamani akaanza mapozi...uwiii..sikuhizi nikigonga mlango anafungua tunasalimia halafu anaufunga kwanguvu bila kunisemesha chochote..nabaki kwa nje natabasamu tuu...msaada wa mbinu jamani nimdake huyu binti wa miaka 19...shule haipandi kabisa namuwaza all the time.
Yani wewe umejiunga JF kwa jambo moja tu... Zinaa, basi!
 
Mwanafunzi hatuwezi kukufundisha mbinu za uzinzi soma bwana kama unataka tuulize mbinu za kusoma upo mwaka wa kwanza yu have long way to go!
Mdogo wenu nimependa kibinti cha malawi...mara mbili za mwanzo tuliongea vizuri sana...wiki chache baadaye nilipoanza kuonesha kuwa namtamani akaanza mapozi...uwiii..sikuhizi nikigonga mlango anafungua tunasalimia halafu anaufunga kwanguvu bila kunisemesha chochote..nabaki kwa nje natabasamu tuu...msaada wa mbinu jamani nimdake huyu binti wa miaka 19...shule haipandi kabisa namuwaza all the time.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom