Mdogo wenu nimependa kibinti cha malawi...mara mbili za mwanzo tuliongea vizuri sana...wiki chache baadaye nilipoanza kuonesha kuwa namtamani akaanza mapozi...uwiii..sikuhizi nikigonga mlango anafungua tunasalimia halafu anaufunga kwanguvu bila kunisemesha chochote..nabaki kwa nje natabasamu tuu...msaada wa mbinu jamani nimdake huyu binti wa miaka 19...shule haipandi kabisa namuwaza all the time.