Kinadada ogopeni taxi za kuchangia

Kinadada ogopeni taxi za kuchangia

Kumezuka uhalifu jijin
dar hususan muda wa jioni kwenye vituo vikuu vya daladala vya posta na
kariakoo wakat usafiri wa daladala unapokuwa shida zinaibuka taxi za
kuchangia. Wadada bila kujua nao hujichanganyaka humo hatimaye huishia
kubakwa, na kuporwa. Chukuen tahadhari

give us mfano hai
 
hahaaa mbona mmeandikishana bila kunishirikisha

We unawapenda wote... Yaani ulikuwa unautekeleza mkataba kabla hata hatujaandikishana.. so hakukuwa na haja ya kukushirikisha, kwani, it makes no difference. Tutakupa ratiba tu ya lini uende wapi..??? Yaani hata kama mmoja akisafiri zamu yake ikifika unamfuata, na zamu ya mwingine ikikukuta safarini unageuza kumfuata mwenye zamu
 
pia tusipende kuongea na simu zetu kwa kujiachia maeneo ya posta,,kuna jamaa wanakwapua kwa kutumia bodaboda,,,imemtokea rafiki yangu mpka leo amezimia maana Iphone 5 ya wiki moja imeondoka
 
mh..tunaelekea pabaya na haya matukio yasiyo rasmi na faidaless projects.
 
We unawapenda wote... Yaani ulikuwa unautekeleza mkataba kabla hata hatujaandikishana.. so hakukuwa na haja ya kukushirikisha, kwani, it makes no difference. Tutakupa ratiba tu ya lini uende wapi..??? Yaani hata kama mmoja akisafiri zamu yake ikifika unamfuata, na zamu ya mwingine ikikukuta safarini unageuza kumfuata mwenye zamu

hehee hapa kazi ninayo...zamu ikinikuta safarini

inabidi nirudi looh najutaaaaaaaaaaaaa
 
pia tusipende kuongea na simu zetu kwa kujiachia maeneo ya posta,,kuna jamaa wanakwapua kwa kutumia bodaboda,,,imemtokea rafiki yangu mpka leo amezimia maana Iphone 5 ya wiki moja imeondoka
Nilifikiri amezielfu moja,usijali mweke karibu na bank...
 
Kubaka!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!! magonjwa yote haya bado mtu unabaka?????????? au wao ndo wanataka kuambukiza wenzao????? au wanajiandaa na kondom zao kabisa?????????
 
Back
Top Bottom