CCM wanafahamu kwamba huo wito ukiitikiwa na wananchi, Idadi ya watakao jitokeza kupiga kura itakuwa ni sawa na zero, au Negligible kabisa, hivyo itawawaacha uchi kwa matokeo wanayopika kila siku.
Kwa kufahamu hilo wana itaka CHADEMA ishiriki uchaguzi ili kutimiza ndoto za wizi wao.
Nami naamini CHADEMA ikifanikiwa kwenye hili, na wananchi wasijitokeze kupiga kura CCM itakosa legitimacy ya kuongoza.
Hizi tambo za CCM ni kwa sababu wanapojitokeza wana Chadema kwa wingi kwa nia ya kuitoa CCM madarakani, wao wanutumia mwanya huo kuchakachua kura za CHADEMA na kuwa za CCM na za CCM kuwa za CHADEMA.
Binafsi naona CHADEMA wakaze kabisa na wasiseme zile kauli tata, kama "Hatutasusia uchaguzi bali tutaamasisha watu wasiende kupiga kura" badala yake waseme "Hatutashiriki Uchaguzi kama hakuna mabadiriko ya sheria na taratibu za uchaguzi".
Kwa kufahamu hilo wana itaka CHADEMA ishiriki uchaguzi ili kutimiza ndoto za wizi wao.
Nami naamini CHADEMA ikifanikiwa kwenye hili, na wananchi wasijitokeze kupiga kura CCM itakosa legitimacy ya kuongoza.
Hizi tambo za CCM ni kwa sababu wanapojitokeza wana Chadema kwa wingi kwa nia ya kuitoa CCM madarakani, wao wanutumia mwanya huo kuchakachua kura za CHADEMA na kuwa za CCM na za CCM kuwa za CHADEMA.
Binafsi naona CHADEMA wakaze kabisa na wasiseme zile kauli tata, kama "Hatutasusia uchaguzi bali tutaamasisha watu wasiende kupiga kura" badala yake waseme "Hatutashiriki Uchaguzi kama hakuna mabadiriko ya sheria na taratibu za uchaguzi".