Tatizo Msingwa anaiga
tabia ya Lema, lakini inabidi ajue kuwa hulka ya mnyalukolo ni tofauti
kabisa na hulka ya chalii.
Hizi zote ni harakati za Msigwa kujaribu kujisafisha jina lake baada ya
kujidhalilisha kwa hotuba mbovu aliyotoa. Kama hotuba kashatoa, maji
yameshamwagika, ajitahidi tu next time atoe hotuba yenye mashiko.
Maggid, poleni sana hapo. tafadhli jitahidi kumtafuta Msigwa muongee,
afanye siasa za kujenga nchi. Naona katuma vijana wake waje kusema
kashikwa na polisi kumbe yuko kwenye Harambee!!!
Majjid mjibu Selungo tafadhali
...Lakini unaipenda CCM na KamuhandaUmeandika vizuri majid, ila kwakua wabongo hatupendi ukweli tutamtetea mchungaji wa kiti moto. Sipendi siasa za vurugu
Sent from my BlackBerry 8520 using JamiiForums
yani amenikera sana mjengwaWe nae unyamaze tu ulikua wa maana zamani toka wamekununua umekua mchumia tumbo. Nishaisahau hata blog yako, na uache kujitamba msigwa hamna ujirani wowote yeye anasema anakujua kama muandishi wa habari aliekua makini zamani ila kutokana na uoga wake amekua muandishi wa habari wa CCM. Sasa sijui wajikomba kwake??.
...Itabidi aamue nani anayetaka ambariki kati ya "mungu" wa akina Igondu, Kamuhanda, Mwigulu au Mungu wa akina Ulimboka, Kibanda, na Mwangosi.Majjid,ubarikiwe,hakika chadema shetani anawatumia kuliangamiza taifa,wewe unayejiita mchungaji hebu Nijibu ni lini Huyu Yesu unedai kumtumikia alikua akihamasisha umma kupinga utawala na kuleta machafuko,wewe ni ajenti wa kuzimu,unatimiza unabii mkuu wa Mungu wa siku za mwisho,wewe ni mtumishi wa dunia hii sio wa ulimwengu ujao,acha kutumia jina la Yesu kwa tumbo lako,shetani amewakamata mmeamua kuliangamiza taifa letu,na sisi hatutawaacha ,the current state of our dear nation is fast filling up its cup of iniquity throug CHADEMA,violence and crime of political gain are filling our nation,and Satan is using Mchungaji msigwa to torn apart this innocent Nation.
The youth who walk the streets are surrounded with handbills and noice of crime and sin,their mind are educated to misbehave and crime,hatred and sin against the government,ole wenu chadema mnaodhani Mungu anazibariki kazi hizi za Ibilisi.
Mungu lete utulivu watu Wako tumalize kazi,Yesu urudi kulichukua kanisa lako,Amen
Majjid,ubarikiwe,hakika chadema shetani anawatumia kuliangamiza taifa,wewe unayejiita mchungaji hebu Nijibu ni lini Huyu Yesu unedai kumtumikia alikua akihamasisha umma kupinga utawala na kuleta machafuko,wewe ni ajenti wa kuzimu,unatimiza unabii mkuu wa Mungu wa siku za mwisho,wewe ni mtumishi wa dunia hii sio wa ulimwengu ujao,acha kutumia jina la Yesu kwa tumbo lako,shetani amewakamata mmeamua kuliangamiza taifa letu,na sisi hatutawaacha ,the current state of our dear nation is fast filling up its cup of iniquity throug CHADEMA,violence and crime of political gain are filling our nation,and Satan is using Mchungaji msigwa to torn apart this innocent Nation.
The youth who walk the streets are surrounded with handbills and noice of crime and sin,their mind are educated to misbehave and crime,hatred and sin against the government,ole wenu chadema mnaodhani Mungu anazibariki kazi hizi za Ibilisi.
Mungu lete utulivu watu Wako tumalize kazi,Yesu urudi kulichukua kanisa lako,Amen
Naomba nikuulize swali kidogo, wewe ni mkazi wa hapo Iringa1. Hao wamachinga tangu wameanza kufanya biashara katika maeneo hayo wameleta madhara gani?2. halmashauri ya mji kuna eneo lolote lililotengwa ambalo linafaa/ litafaa kwa biashara za kimachinga?3. Katika fujo za leo walioanzisha fujo ni nani kati ya Polisi na wamachinga?4. Wakati wamachinga wanavamiwa na Polisi Mchungaji Msigwa alikuwepo kwenye tukio?5. Hao Pilisi waliomkamata Msigwa walimkuta wapi hadi wakamkamata?Ndugu zangu, Leo saa mbili na nusu asubuhi nilifika Jengo la NSSF nikitokea kufanya jogging yangu ya asubuhi. Nilifika hapo kuwahi kununua magazeti. Hali ilikuwa shwari kama ilivyo kawaida ya Iringa Jumapili asubuhi. Kunako saa tatu asubuhi nilipokuwa nyumbani nikisoma magazeti, ndipo niliposikia mlio wa kwanza wa bomu la machozi. Idadi yake ikaanza kuongezeka. Nikiwa na kamera yangu nikajisogeza hadi katikati ya mji kufahamu zaidi kinachotokea. Nilichokiona ni vurugu kati ya Wamachinga na Jeshi la Polisi. Tatizo? Ni dogo sana, lakini linakuzwa kwa vile siasa imepelekwa mbele badala ya kutanguliza hekima na busara. Kwa kufuatilia suala la Wamachinga kufanya biashara eneo la barabarani pale Mashine tatu naamini kabisa, kuwa Mbunge wa Iringa Mjini, Mchungaji Msigwa angeweza kuepusha hali inayoendelea sasa kwa kuwasihi Wamachinga watii kwanza amri ya Manispaa, na yeye, kama Mbunge wao, kujiingiza kwenye mazungumzo ya dhati na wenzake kwenye Halamshauri ya Manispaa ya Iringa katika kutafuta ufumbuzi wa suala hili. Na hiyo ndio siasa. Siasa ina maana ya majidiliano endelevu badala ya kuhamasisha matumizi ya nguvu au vurugu pale milango ya majadiliano ingali wazi. Kinachotokea Iringa kwa sasa ni doa kubwa kwa mji wetu wenye sifa ya muda mrefu ya utulivu. Kina athari kubwa kiuchumi pia. Pale Iringa mjini nilichokiona leo ni kama mji ulio katika mapigano ya kivita. Watu ni wachache na wenye hofu. Biashara nyingi zimesimama. Niliziona Daladala zikitoka Kituo cha Miyomboni bila hata abiria, watoke wapi? Wakati kwa sasa walio nje ya mji wameambiwa na jamaa zao walio katikati ya mji kuwa wasijaribu kufika mjini, kwamba hali imechafuka. Nimeongea na mwuza nyama ya bucha aliyeniambia kuwa mgomo wa Daladala wa hivi karibuni ulimfanya apate hasara kubwa kwenye biashara yake ya nyama kwa vile wateja wake wengi wanatoka nje ya mji. Na anachokiona leo ni hasara nyingine kwa vile hakutakuwa na biashara nzuri. Je, ni wafanyabiashara wangapi watakaoathirika na hali hii ya leo? Na kwa kuwa mkweli, kisiasa kinachotokea Iringa kwa sasa kinaweza kuwa na athari hasi kwa Mchungaji Msigwa badala ya kumjenga kisiasa, kwani, wengi niliozungumza nao katikati ya mji wanamwona Mchungaji Msigwa kuwa ni mtu ambaye angeweza kuiepusha hali hii kama asingeyatumia majukwaa ya siasa kuwahamasisha Wamachinga kuendelea kufanya biashara, na hivyo, kutokutii amri ya Manispaa. Mchungaji Msigwa ni rafiki yangu, muda mfupi uliopita nimempigia simu. Imeita bila majibu. Mmoja wa watu wake wa karibu ameniambia yuko kwenye Harambee pale Tumaini University. Kama Mchungaji Msigwa angejibu simu yangu, basi, ningemwambia haya ninayoyaandika hapa. Maggid Mjengwa, Iringa. 0754 678 252MjengwaBlog :: Habari, Picha, Matangazo na Matukio