wanaopenda kuambiwa ni kina nani? kama hampindishi maneno basi ningesema its just the opposite of what you people mean. cdm hawapendi uongo, ukisema uongo lazima watapinga kwa nguvu zote. ila ccm wanapenda sana kupakwa mafuta kwa mgongo wa chupa, kupindisha lugha na kusema uongo. na yote hiyo ni kwa sababu wanaona wamefika, hawafikirii tena kitu kingine zaidi ya kutaka ku-maintain position na status.
sisi ambao bado tuna safari ndefu ni lazima tuseme ukweli na kwa hilo watusamehe tu wapenzi wa ccm. kwenye uongo daima progress haipatikani, tafuta reference yoyote unipatie, ya maendeleo yaliyopatikana kwa kusema uongo.
bara la afrika angalieni mfano halisi wa nchi ya rwanda, they are doing good kwa kuwa kagame haishi kwa uongo, the man is realistic kiasi hicho nathubutu kusema.