JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 2,091
- 4,716
- Thread starter
- #21
Daraja linamizunguko mingi mno tofauti na underground hiyo ni straight forward. Hebu fikiria njia nane zile na mwendokasi katikati toka kimara hadi kibaha balaa lake kwa wavuka kwa miguu. Alafu uweke mataa tena kwa ajili ya wavuka kwa miguu unasababisha foleni kubwa. Sasa kungekuwa na underground mtu akae kusubiri mataa wakati underground iko wazi masaa yote.Hata wangeweka wabobgo wasingeitumia hilo daraja la juu kimara tuu watu wanapita kule chini nondo zilikochomoka