Kinachonisikitisha hotuba Imeisha lakini hajazungumzia UTEKAJI. Tujiandae kunyakuliwa kama kuku

Kinachonisikitisha hotuba Imeisha lakini hajazungumzia UTEKAJI. Tujiandae kunyakuliwa kama kuku

Joined
Oct 5, 2025
Posts
32
Reaction score
202
Wakuu,

Nilitegemea angekemea utekaji na kusema kwamba kwenye awamu yake ya pili hategemei kusikia wala kuona Watanzania wanatekwa.

Lakini hola!

Maana yake ni kwamba tutaendelea kutekwa na kile kikundi cha Watu Wasiojulikana wataendelea kutunyakua Watanzania.

Hii nchi imeoza to the core!
 
Si amesema mambo yapo mengi saaana mda hautoshiii atatafuta wasaa mwingine aendelee 😅😅

Nahisi wakati unaangalia ulikuwa unaombea asigusie utekaji ili upate cha kuanzishia sredi 😅
 
Back
Top Bottom