Mimi sio mpenzi sana wa kuangalia filamu, ila mara chache tu huwa naangalia hasa kwenye mabasi ninapoafiri. Kitu kinachonikera kwenye hizi Bongo movie hasa za JB ni kutumia wahusika wale wale na theme ioe ile mwisho ana bore sasa. Mfano ni huyu Shamsa Ford, huwezi kuangalia picha ya JB usimkute, tena kwenye filamu hiyo lazima ataishia kuolewa na JB. Ni kweli Shamsa ni mzuri, lakini kwani yuko pee yake kwenye filamu? Halafu kwa nini theme iwe mapenzi tu? Nachoka kabisa
Mmmh hayo ma bongo movie mi nafikiri yaitwe bongo maigizo
Utayarishaji wa Bongo movies hauzingatii misingi ya cinematograpghy, imekaa kishikaji zaidi na kuendekeza mambo ya kienyeji enyeji. Wakati mwingine mambo ya bongo movies yanakwenda kimichepuo zaidi!!! Achana nao, angalia products zingine nyingi tu ziko sokoni na kwenye youtube.
Utayarishaji wa Bongo movies hauzingatii misingi ya cinematograpghy, imekaa kishikaji zaidi na kuendekeza mambo ya kienyeji enyeji. Wakati mwingine mambo ya bongo movies yanakwenda kimichepuo zaidi!!! Achana nao, angalia products zingine nyingi tu ziko sokoni na kwenye youtube.
Mimi sio mpenzi sana wa kuangalia filamu, ila mara chache tu huwa naangalia hasa kwenye mabasi ninaposafiri.
Kitu kinachonikera kwenye hizi Bongo movie hasa za JB ni kutumia wahusika wale wale na theme ile ile mwisho ana bore sasa.
Mfano ni huyu Shamsa Ford, huwezi kuangalia picha ya JB usimkute, tena kwenye filamu hiyo lazima ataishia kuolewa na JB.
Ni kweli Shamsa ni mzuri, lakini kwani yuko pee yake kwenye filamu?
Halafu kwa nini theme iwe mapenzi tu?
Nachoka kabisa
Kweli kabisa, bongo movie hawakai wakatulia wakaweka manjonjo ya movie halisi yaliyo next level,kuna matatizo mengi na kubwa ni elimu,elimu kubwa ya movie iko katika lugha ya kiingereza, na wengi ni vilaza au wavivu kujifunza, pili, aina ya wanaowaandalia filamu ni walewale hawana jipya,angalia bongo fleva ilivyo na ushindani, video mpaka mtu anaenda south africa, movies hawawashirikishi hata wakenya kama ojwang ili kuleta ladha,hebu fikiria ojwang na majuto wakikutana katika movie yako,hata kenya utauza, badala ya bedford,chukua binti makini kutoka rwanda au uganda na wavae vizuri, SCRIPT USIIANDIKIE CHOONI,ipitiwe na wataalamu kama jopo wajue wapi kinatakiwa nini kwa wakati gani, na mwisho PUNGUZENI KULIA MUDA MREFU KATIKA MOVIE ILI MUDA UENDE
Hapa nasafiri kutoka Lindi nakuja Dar, filamu inayoonyeshwa ni ya JB na anaelekea kumwoa Shamsa.