Don Clericuzio
JF-Expert Member
- Dec 8, 2017
- 16,936
- 40,521
Mkuu una utaalam wowote katika civil engineering?
Unajua sheria ya barabara?
Hata mwendokasi wakati inajengwa,kulikua na wataalam elekezi feki kama wewe wengi tu
Kwa hiyo kile kilichojengwa kwenye mwendo kasi unakiona bora?