Kinachojengwa Mbezi mwisho ni kuchezea kodi za Watanzania

Kwani uongo? Jangwani?
Hawa ndio walikuwa wako bize mitandaoni wakisema vituo vya mwendokasi vimekosewa kujengwa sababu milango ya mabasi itakuwa upande ambao sio sahihi. Walijua kwa akili zao kuwa milango ya mwendo kasi iko kama ya daladala na watashusha kama daladala. Na walikomaa kweli humu na kupeana likes...
 
Kwanza naomba kusema wazi naunga mkono wazo la upanuzi wa barabara ya Kimara Kibaha.

Pili nailaumu sana tena sana Tanroad na wizara ya ujenzi kwa kuchezea kodi za wananchi kwani kila baada ya miaka 10 miundombinu hufumuliwa na kujengwa upya.


Kinachojengwa pale Mbezi Mwisho hakitaishi zaidi ya miaka 10 kila kitu kitabomolewa na kujengwa upya.

Mbezi Mwisho ni makutano ya pande mbili za Dar es Salaam

Mbezi mwisho ni mji unaokua kwa kasi kuliko mji wowote hapa Dar.

Mbezi mwisho ni lango la kuingia na kutoka Dar.

Kwanini Tanroad hamtaki kufikiria design nzuri walau kwa miaka 50.

Hamjifunzi mkoloni alivyoweka mita 240 upana wa barabara toka Kimara hadi Kibaha.

Hivyo viraundi abauti mnavyovijemga hapo Mbezi ni kupoteza kodi za wananchi.

TANROAD INAHITAJI NEW BRAIN

Uzi huu tutakuja kuukumbuka siku wakianza kubomoa wanachokijenga
Kidogo kidogo na chattle ijengwe, inasikitisha hata SGR ya njia moja ni laana kabisa, unajengaje SGR ya njia moja kwa nchi yenye watu milioni 60?!
 
Unabii huu umeanza kutimia
Kwanza naomba kusema wazi naunga mkono wazo la upanuzi wa barabara ya Kimara Kibaha.

Pili nailaumu sana tena sana Tanroad na wizara ya ujenzi kwa kuchezea kodi za wananchi kwani kila baada ya miaka 10 miundombinu hufumuliwa na kujengwa upya.


Kinachojengwa pale Mbezi Mwisho hakitaishi zaidi ya miaka 10 kila kitu kitabomolewa na kujengwa upya.

Mbezi Mwisho ni makutano ya pande mbili za Dar es Salaam

Mbezi mwisho ni mji unaokua kwa kasi kuliko mji wowote hapa Dar.

Mbezi mwisho ni lango la kuingia na kutoka Dar.

Kwanini Tanroad hamtaki kufikiria design nzuri walau kwa miaka 50.

Hamjifunzi mkoloni alivyoweka mita 240 upana wa barabara toka Kimara hadi Kibaha.

Hivyo viraundi abauti mnavyovijemga hapo Mbezi ni kupoteza kodi za wananchi.

TANROAD INAHITAJI NEW BRAIN

Uzi huu tutakuja kuukumbuka siku wakianza kubomoa wanachokijenga
 
Haya twambieni muda huu kinacho jengwa pale mbezi mwisho
Mkuu una utaalam wowote katika civil engineering?
Unajua sheria ya barabara?
Hata mwendokasi wakati inajengwa,kulikua na wataalam elekezi feki kama wewe wengi tu
 
Hivi zile frem pale kwenye kituo Cha Mbezi zimepata wapangaji?
Hao wapangaji wanapata biashara?
 
Back
Top Bottom