Tabutupu
JF-Expert Member
- Nov 26, 2010
- 13,113
- 18,333
- Thread starter
- #121
Kwani uongo? Jangwani?
Hawa ndio walikuwa wako bize mitandaoni wakisema vituo vya mwendokasi vimekosewa kujengwa sababu milango ya mabasi itakuwa upande ambao sio sahihi. Walijua kwa akili zao kuwa milango ya mwendo kasi iko kama ya daladala na watashusha kama daladala. Na walikomaa kweli humu na kupeana likes...