Kwanza naomba kusema wazi naunga mkono wazo la upanuzi wa barabara ya Kimara Kibaha.
Pili nailaumu sana tena sana Tanroad na wizara ya ujenzi kwa kuchezea kodi za wananchi kwani kila baada ya miaka 10 miundombinu hufumuliwa na kujengwa upya.
Kinacho jengwa pale mbezi mwisho hakita ishi zaidi ya miaka 10 kila kitu kitabomolewa na kujengwa upya.
Mbezi mwisho ni makutano ya pande mbili za dar es salaam
Mbezi mwisho ni mji unao kua kwa kasi kuliko.mji wowote hapa dar.
Mwezi mwisho ni lango la kuingia na kutoka dar.
Kwanini tanroad hamtaki kufikiria design nzuri walau kwa miaka 50.
Hamjifunzi mkoloni alivyo weka mita 240 upana wa barabara toka kimara hadi kibaha.
Hivyo viraundi abauti mnavyo vijemga hapo mbezi ni kupoteza kodi za wananchi.
TANROAD INAHITAJI NEW BRAIN
Uzi huu tutakuja kuukumbuka siku wakianza kubomoa wanacho kijenga
Barabara ya DAR - IRINGA - MBEYA inajengwa tangu nasoma drs la kwanza hadi nazeeka !Wanazidiwa akili na MABEBERU waliona mbali miaka ya GIZA ila sie tupo millenium lakini bapo kama tupo Nineteen kweusi.
inabidi tuwaite MABEBERU waje kutupa plan ya miaka 100 ijayo.Barabara ya DAR - IRINGA - MBEYA inajengwa tangu nasoma drs la kwanza hadi nazeeka !
Mkuu barabara ya mwendo kasi tumecopy na kupaste toka Joberg-Usitupe ujiko wa bure kwamba tulidesign sisi-ile ni sawa na BIG RESULT NOW-Copy and PasteNa ile barabara ya mwendokasi ni ya kujivunia au nayo ni mfano mojawapo wa fikra zetu ndogo?
Wala tusijifariji. Tumetembelea miji mingi Duniani na ya mataifa mengi, tena mengine ya Afrika, ukilinganisha na tunachofanya kwenye maeneo mengi upande wa barabara na mipango miji kwa ujumla, ni uthibitisho wa upeo wetu kuwa duni kabisa.
Ni aheri kutokuwa na wasomi kabisa kuliko kuwa na wasomi wasioweza kupanga tu miji na barabara.
Hahahahahah-Nchi ya ujenzi wa barabara tuBarabara ya DAR - IRINGA - MBEYA inajengwa tangu nasoma drs la kwanza hadi nazeeka !
Mfano watu kujazana kituoni na kwenye mabasi yasiyo na mzunguko wa hewa na kufanya watu wawe kwenye hatari ya kuambukizana magonjwa. Kwani design yenu ilikuwa watu wajazane hivo? MBONA TUNAWAONA MNAKAA KIMYA UENDESHAJI WA HIKI KIWANDA CHA MWENDO KASI? NI SAWA KINAVYOFANYA KAZI? MNACHUKUA HATUA GANI? NDIO MAANA HAKUNA HATA VIBAO VYA KUONYESHA BASI LINAFIKA WAKATI GANI KWENYE VITUO AU KUONDOKA, MMEIGA TU BASItatizo lipo wapi kwa mfano
Hizi ni miradi za viongozi , ndio maisha yao ya kila siku , haiwezekani barabara haiishi miaka yote hiyo !inabidi tuwaite MABEBERU waje kutupa plan ya miaka 100 ijayo.
Kabisa ndio maana kila siku zinatengenezwa kwa mabilioni baada ya mda mfupi zimebomoka mashimo kibao,wanapiga tena pesa.Hizi ni miradi za viongozi , ndio maisha yao ya kila siku , haiwezekani barabara haiishi miaka yote hiyo !
Wengi tunataman ubungo pabakie vile vile na mibati yakeTazama pale ubungo, baada ya kuweka mzunguko wa mabati. Hakuna foleni.
Kumbe foleni ilikuwa inaletwa na yale mataa mabovu mabovu. Sijui kwanini hawakuweka mzunguko tangia miaka yote
Sent using Jamii Forums mobile app
Kila Mara huwa nasema ukitaka kujua umaskini na ufinyu wa jamii ambayo haijastaarabika just angalia tu mpangilio wa makazi na miundombinu yetu mambo yanaenda shaghala baghala tuSiamini kama Tanzania ina town planners. Maana ujinga wanaoufanya kwenye miji mingi, ni afadhali hata umpate kijana aliyeishia darasa la 7 lakini mwenye akili nzuri, atafanya planning nzuri kuliko hawa wanaojiita town planners. Wanachofanya ni ujinga mtupu, na nadhani uwezo wao wa kufikiri na mipango yao haizidi miaka 5.
Leo hii ukilinganisha miji waliyoplan wakoloni ni mizuri kuliko hao wanaoitwa wazalendo. Upanga, maeneo ya ikulu na Oysterbay Dar, yalipangwa na wakoloni. Tanga mjini ilipangwa na mkoloni, Tabora ilipangwa na wakoloni. Kwenye hiyo.miji yote, walikoendeleza wazalendo ni uchafu mtupu.
Tanroad nako ni hopeless kabisa. Hata mimi naweza kupanga vizuri zaidi kuliko hao wataalam wa Tanroads.
Ukija huko CDA Dodoma nako ni takataka. Barabara nyembamba, hakuna akiba ya maeneo ya barabara wala maeneo ya wazi ya kupumzikia.
Tuna watu wa ajabu kwenye ngazi mbalimbali za serikali mpaka taasisi zake.
Tanzania ndio nchi pekee duniani inayotengeneza barabara zile zile kwa miaka yote , ukifuatilia utagundua miaka michache iliyopita barabara ya Kimara - Mbezi ilijengwa , lakini leo inajengwa tenaKabisa ndio maana kila siku zinatengenezwa kwa mabilioni baada ya mda mfupi zimebomoka mashimo kibao,wanapiga tena pesa.
Halafu barabara alizijenga mwenyewe mtetea wanyonge.Tanzania ndio nchi pekee duniani inayotengeneza barabara zile zile kwa miaka yote , ukifuatilia utagundua miaka michache iliyopita barabara ya Kimara - Mbezi ilijengwa , lakini leo inajengwa tena
Jaribu ku Google nchi Kama Ghana tumeizidi uchumi lakini miundombinu wanayojenga ni ya adabu,cheki hapo Kampala entebe road ya maana huku dar takataka tuuNa ile barabara ya mwendokasi ni ya kujivunia au nayo ni mfano mojawapo wa fikra zetu ndogo?
Wala tusijifariji. Tumetembelea miji mingi Duniani na ya mataifa mengi, tena mengine ya Afrika, ukilinganisha na tunachofanya kwenye maeneo mengi upande wa barabara na mipango miji kwa ujumla, ni uthibitisho wa upeo wetu kuwa duni kabisa.
Ni aheri kutokuwa na wasomi kabisa kuliko kuwa na wasomi wasioweza kupanga tu miji na barabara.
Nakumbuka miaka ya 2001/2002 ilipasuliwa ile ya njia moja sijui mbili kuanzia ubungo hadi kimara na zikajenjwa barabara 4 haijatimia hata miaka 20 ikapasuliwa tena ikawekwa mwendokasi na hii mwendo kasi itapasuliwa muda si mrefu wataweka sijui nini kitu hata miaka 30 hakija fikisha kishapasuliwaTanzania ndio nchi pekee duniani inayotengeneza barabara zile zile kwa miaka yote , ukifuatilia utagundua miaka michache iliyopita barabara ya Kimara - Mbezi ilijengwa , lakini leo inajengwa tena
Hii mara ya Tatu,aliijenga mkapa,akaijenge JK na sasa magufuli-Hii nchi na ccm yake ilipaswa iwe sayari ya pekee yakeTanzania ndio nchi pekee duniani inayotengeneza barabara zile zile kwa miaka yote , ukifuatilia utagundua miaka michache iliyopita barabara ya Kimara - Mbezi ilijengwa , lakini leo inajengwa tena
We jamaa wa wapi? Una uhakika kwamba roundabouts hazipunguzi foleni??kilicho ondoa foleni pale sio mzunguko bali ni watukutumia njia mbadala!
unakumbuka mzunguko wa pale kariakoo? vipi kuhusu mzunguko wa kigogo na m.city mbona bado kuna foleni??
mzunguko haujawahi kua dawa ya foleni zaidi watanufaikia mafundi garage maana watu ni full kupasuana
Sent using Jamii Forums mobile app
Hii mara ya Tatu,aliijenga mkapa,akaijenge JK na sasa magufuli-Hii nchi na ccm yake ilipaswa iwe sayari ya pekee yake
sababu ya kupungua foleni pae junction soyo yale mabati bali ni baada ya kustopisha route ya dala daala ya kimara kariakoo na gari zake zilikuwa nyingi sana.Tazama pale ubungo, baada ya kuweka mzunguko wa mabati. Hakuna foleni.
Kumbe foleni ilikuwa inaletwa na yale mataa mabovu mabovu. Sijui kwanini hawakuweka mzunguko tangia miaka yote
Sent using Jamii Forums mobile app