clet 8
JF-Expert Member
- Mar 14, 2011
- 1,127
- 322
Uko sahihi.Hebu tuweke kumbukumbu sahihi. Huyu Eric Kabendera ni investigative Journalist mwenye kiwango cha juu katika kufuatilia na kuchambua.
Kama angekuwa na kosa la kuchafua nchi, basi tungeona Serikali ikimfungulia mashtaka yanayoendana na Sheria ya Huduma ya Habari au Sheria Cyber crime ya Mwaka 2015.
Kitendo cha kumfungulia mashtaka kwa Sheria ya Kuhujumu Uchumi na kutakatisha fedha ni dhahiri kuwa Eric Kabendera alikuwa ameandika habari za ukweli ambazo Serikali haina majibu. Kama katakatisha fedha basi kesi ianze na tuone ushahidi. Kinyume cha hapo ni unyanyasaji na dhuluma dhidi ya haki za Binadamu.
Sent using Jamii Forums mobile app