Kinachoiponza Tanzania ni mashitaka dhidi ya mwana habari Erick Kabendera, ni kama marehemu Jamal Khashoggi (Mwanahabari)

Kabendera alikuwa anatumika na Acacia na baadhi ya nchi kuchafua taswira ya Tz, hii ndio sababu kubwa wanaifuatilia kesi ya Kabendera kwa ukaribu sana maana ni “asset” yao. Adhabu ya Kabendera kwa nchi nyingi ni kifo maana hana tofauti na spy au foreign agent yoyote anayetumika kuchafua nchi.

Hata wakiweka vikwazo hakuna kumuachia Kabendera hadi apate haki na stahili yake kwa kuichafua nchi ili iwe fundisho kwa nyumbu yoyote ukitumika kama foreign agents wewe ni adui wa nchi na adhabu inayokustahili ki usalama ni kuwa eliminated.
Kwahiyo kumbe kesi ya uhujumu uchumi ni ya kubumbabumba?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kabendera alikuwa anatumika na Acacia na baadhi ya nchi kuchafua taswira ya Tz, hii ndio sababu kubwa wanaifuatilia kesi ya Kabendera kwa ukaribu sana maana ni “asset” yao. Adhabu ya Kabendera kwa nchi nyingi ni kifo maana hana tofauti na spy au foreign agent yoyote anayetumika kuchafua nchi.

Hata wakiweka vikwazo hakuna kumuachia Kabendera hadi apate haki na stahili yake kwa kuichafua nchi ili iwe fundisho kwa nyumbu yoyote ukitumika kama foreign agents wewe ni adui wa nchi na adhabu inayokustahili ki usalama ni kuwa eliminated.
Mhhhh huwo uwongo jamani Tena mkubwa kabendera alikuwa anatumiwa na baadhi ya watu katika serikali walikuwa wakimlipa nakumpa Siri ili azitoe

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hivi si imesemwa shida ni wale wanaoomba vibali wengi wao kupitisha muda wakiwa huko. Hayo ya waandishi wa habari ndiyo chanzo umeyatoa wapi?
 
Kabendera alikuwa anatumika na Acacia na baadhi ya nchi kuchafua taswira ya Tz, hii ndio sababu kubwa wanaifuatilia kesi ya Kabendera kwa ukaribu sana maana ni “asset” yao. Adhabu ya Kabendera kwa nchi nyingi ni kifo maana hana tofauti na spy au foreign agent yoyote anayetumika kuchafua nchi.

Hata wakiweka vikwazo hakuna kumuachia Kabendera hadi apate haki na stahili yake kwa kuichafua nchi ili iwe fundisho kwa nyumbu yoyote ukitumika kama foreign agents wewe ni adui wa nchi na adhabu inayokustahili ki usalama ni kuwa eliminated.
Nyie wanafiki sana. Kama unayoyasema ni kweli mbona mnamshtaki kwa kutakatisha fedha?
 
Kabendera alikuwa anatumika na Acacia na baadhi ya nchi kuchafua taswira ya Tz, hii ndio sababu kubwa wanaifuatilia kesi ya Kabendera kwa ukaribu sana maana ni “asset” yao. Adhabu ya Kabendera kwa nchi nyingi ni kifo maana hana tofauti na spy au foreign agent yoyote anayetumika kuchafua nchi.

Hata wakiweka vikwazo hakuna kumuachia Kabendera hadi apate haki na stahili yake kwa kuichafua nchi ili iwe fundisho kwa nyumbu yoyote ukitumika kama foreign agents wewe ni adui wa nchi na adhabu inayokustahili ki usalama ni kuwa eliminated.
Je, foreign agents wanaoiingiza nchi kwenye mikataba ya kichifu Mangungo wafanywaje?
 
Na huo ndiyo ukweli wenyewe. Mwana habari Erick Kabendera nje ya Tanzania ni mwana habari mwenye nguvu na mwenye uzani sawa na kina Jamal Khashoggi. Hayo mengine yalitokea yakapita kimya bila madhara makubwa. Wapo waliotekwa, wapo waliopotea, wapo walionusurika kuuawa, wapo waliouawa na wapo walionyang'anywa uwekezaji wao wa jasho na damu kwenye huu utawala wa John Pombe Magufuli. Hayo yote yalipita huku yakiangaliwa kwa mbali kidogo na subira.

Serikali ilikuja kujichanganya sana kumkamata mwana habari Erick Kabendera ambaye ni mwana habari anayehabarisha nje ya mipaka ya Tanzania, mwana habari aliykeuwa anatoa ukweli wote wa yanayoendelea Tanzania huko nje. Walijichanganya sana kumkamata na kumfungulia mashitaka ya uonevu na kubambikia.

Kukamatwa kwa Erick Kabendera kumetibua majeraha yote na sasa Tanzania ilianza kuchunguzwa kwa umakini zaidi na ndipo yanakuja haya.Na kusema kweli tutayavaa na si kwa Marekani pekee bali mlolongo wote wa mataifa ya NATO.

Mwana habari Jamal Khashoggi ambaye aliuawa kikatili ndani ya ofisi za ubalozi kwa kile kinachoelezwa kuwa alikuwa akimvua nguo kwa kumuandika mwana mfalme wa Saudi Arabia, mauaji yake yalileta sintofahamu kubwa duniani na kupelekea utawala wa Saudi Arabia kukosa imani kwa Marekani. Basi huyu Kabendera ni level zile zile za kina marehemu Khashoggi. Naamini kwa wale wanaoenda mahakamani kushuhidia kesi ya Kabendera na kuona wafuatiliaji wageni wa kesi hii tutakuwa pamoja.

Mashitaka dhidi ya Kabendera yataiponza Tanzania zaidi ya hapa!

Bahati mbaya sana na Nigeria nao wamekumbwa na tukio hilo hilo baada ya wao pia kujiingiza ku deal na mwanahabari nguli Omoyele Sowore. Nigeria wana ugaidi wa kila aina, wana matapeli duniani hakuna na yote haya wameyafanya kwa miaka mingi iweje leo? Ukitaka uhasama na dunia iliyostaharabika basi wabughudhi waandishi wanaoonekana ni threat kwako kama wewe ni mtawala.
Urongo mtupu. Tatizo ni wajitoa mhanga au ugaidi tu
Mnapenda kudanganya kwa faida ya nani?
 
Ongezea nyama kwenye uzi wako. State departiment wamesema sababu ni kupungua kwa demokrasia na kuviolate human rights since 2015.
20200123_042310.jpg
 
Mbali ya hayo yote, serikali yetu inafanya mambo ya kigaidi

Kuteka watu

Kupiga risasi watu

Kubambikia kesi

Viongozi wa upinzani wote wanna kesi
Viongozi wa upinzani wote wamehikufungwa
Kununua wapinzani
Kuzuia uhuru wa habari

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kabendera alikuwa anatumika na Acacia na baadhi ya nchi kuchafua taswira ya Tz, hii ndio sababu kubwa wanaifuatilia kesi ya Kabendera kwa ukaribu sana maana ni “asset” yao. Adhabu ya Kabendera kwa nchi nyingi ni kifo maana hana tofauti na spy au foreign agent yoyote anayetumika kuchafua nchi.

Hata wakiweka vikwazo hakuna kumuachia Kabendera hadi apate haki na stahili yake kwa kuichafua nchi ili iwe fundisho kwa nyumbu yoyote ukitumika kama foreign agents wewe ni adui wa nchi na adhabu inayokustahili ki usalama ni kuwa eliminated.

mtanzania1989 unafeli wapi mkuu, kama ingekua kesi ni halali kuwa ni spy mbona amegeuziwa mashitaka na kuwa ya uhujumu uchumi??? hapa kuna haki yoyote kweli??? kwanini serikai kama ni ya kiungwana isiseme hadharani kuwa kabendera alitumika na accasia???? haki iko wapi... ni sawa na mimi nimeiba pikipiki then nikaambiwa nimeiba basi...thats shit,,,THE TIME WILL TELL
 
Ishu hapa ni vita ya kiuchumi
Makinikia imewaumiza sana Acacia,wana watu wao wenye hisa wapo Washington wanajaribu kulipa kisasi,
Wataishiwa pumzi tu,sie wenyewe tulishajipiga travel ban tokea 2015
 
Kabendera alikuwa anatumika na Acacia na baadhi ya nchi kuchafua taswira ya Tz, hii ndio sababu kubwa wanaifuatilia kesi ya Kabendera kwa ukaribu sana maana ni “asset” yao. Adhabu ya Kabendera kwa nchi nyingi ni kifo maana hana tofauti na spy au foreign agent yoyote anayetumika kuchafua nchi.

Hata wakiweka vikwazo hakuna kumuachia Kabendera hadi apate haki na stahili yake kwa kuichafua nchi ili iwe fundisho kwa nyumbu yoyote ukitumika kama foreign agents wewe ni adui wa nchi na adhabu inayokustahili ki usalama ni kuwa eliminated.


Sasa mbona hawi eliminated???

Unamihemuko aisee mme mshitaki anahujumu uchumi

Eliminated

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom