Kinachoendelea Ugiriki ni nini haswa?

Kinachoendelea Ugiriki ni nini haswa?

bukoba boy

JF-Expert Member
Joined
Jan 15, 2015
Posts
5,376
Reaction score
3,976
Wakuu,
Kitu gani kinaendelea Ugiriki?sababu kila kukicha ni habari kiihusu hiyo na eurozone,mara walipe €1.8m by monday mara wasipolipa wanaweza toka eurozone mara wapunguze subsidies mara waongeze kodi mara wapewe mda zaidi wa kulipa hiyo €1.8m!
Wataalam shusheni mambo hapa kilaini ili na layman kama mimi ning'amue.
 
Wakuu,
Kitu gani kinaendelea Ugiriki?sababu kila kukicha ni habari kiihusu hiyo na eurozone,mara walipe €1.8m by monday mara wasipolipa wanaweza toka eurozone mara wapunguze subsidies mara waongeze kodi mara wapewe mda zaidi wa kulipa hiyo €1.8m!
Wataalam shusheni mambo hapa kilaini ili na layman kama mimi ning'amue.

Kwa haraka haraka ni kwamba serikali imefilisika. Serikali ikifilisika inamaana haiwezi kulipa wafanyakazi, kuhudumia shughuli zote za serikali.

Ndo ugiriki wamefikia hali hiyo, wamekopa hadi wamefikia hatua ya kutokopesheka kabisa, na bado hawana hela hata ya kulipa hayo madeni.

Inabidi umoja wa ulaya wawape mkono kwasababu wapo ndani ya umoja huo. Hizo deadlines unazoona wamewekeana ni kwamba wamepiga mahesabu baada ya kupita huo muda serikali haina pesa kabisa. Wafanyakazi hawatakuwa na mshahara, shughuli zote za serikali zitasimama zote.
 
Kwa haraka haraka ni kwamba serikali imefilisika. Serikali ikifilisika inamaana haiwezi kulipa wafanyakazi, kuhudumia shughuli zote za serikali.

Ndo ugiriki wamefikia hali hiyo, wamekopa hadi wamefikia hatua ya kutokopesheka kabisa, na bado hawana hela hata ya kulipa hayo madeni.

Inabidi umoja wa ulaya wawape mkono kwasababu wapo ndani ya umoja huo. Hizo deadlines unazoona wamewekeana ni kwamba wamepiga mahesabu baada ya kupita huo muda serikali haina pesa kabisa. Wafanyakazi hawatakuwa na mshahara, shughuli zote za serikali zitasimama zote.

Duh asee hii kitu ni hatari.inakuaje nchi ikafika sehemu kama hiyo manake hiyo hatua haifikiwi ghafla tu?.
 
Fedha zao ziko wap ss ...wangelipa ningesema zimeisha kwa kulipa ...!!
 
Bora yetu tanzania na hongera chama tawala ccm
 
Ni kwamba nchi haina uzalishaji, watu hawalipi kodi.

Ila Leo nimesikia DW,waziri wao kasema wafanyakazi wasiwe na wasiwasi mishahara yao IPO, na wananchi fedha zao za bank zote zipo salama
 
duh pole yao hivi hawawezi kuprint mahela mengine?
 
Back
Top Bottom