Lycaon pictus
JF-Expert Member
- Jan 31, 2021
- 10,884
- 18,824
Polisi wa Uganda wanaujinga mwingi sana. Wao ni kuchapa tu raia.
Basically wanataka muitumie internet kuangalia games, mpira, movies, pornography na mambo kama hayo. Ukigusa sensitive issues hawataki kabisaHivi watawala wa kiafrika hawaipendi Internet wakati wa kipindi cha uchaguzi kwanini!? Watawala wa Kiafrika kwanini hawapendi kabisa kusikia kuna mtu anawakosoa? kwenye Nyumba za ibada si tunaambiwa hakuna mwanadamu aliye mkamilifu chini ya Jua?! kwanini wao iwe dhambi kukosolewa na kuwaruhusu walio nnje ya madaraka nao waseme na wasikilizwe!? Afrika 😭 😭 😭 😭
Mwafrika ni kama mweusi sio nje tu hata akili na utashi.Tz hakuna kilichotokea ni amani ilitawala ni nyumbu wahalifu wachache walishughulikiwa kikamilifu nchi imerudi kwenye amani.