Kinachoendelea Uganda baada ya Internet kuzimwa kinaenda kufanana na kilichotokea Tanzania kwenye uchaguzi mkuu Oktoba 29, 2025

Kinachoendelea Uganda baada ya Internet kuzimwa kinaenda kufanana na kilichotokea Tanzania kwenye uchaguzi mkuu Oktoba 29, 2025

Hivi watawala wa kiafrika hawaipendi Internet wakati wa kipindi cha uchaguzi kwanini!? Watawala wa Kiafrika kwanini hawapendi kabisa kusikia kuna mtu anawakosoa? kwenye Nyumba za ibada si tunaambiwa hakuna mwanadamu aliye mkamilifu chini ya Jua?! kwanini wao iwe dhambi kukosolewa na kuwaruhusu walio nnje ya madaraka nao waseme na wasikilizwe!? Afrika 😭 😭 😭 😭
 
Hivi watawala wa kiafrika hawaipendi Internet wakati wa kipindi cha uchaguzi kwanini!? Watawala wa Kiafrika kwanini hawapendi kabisa kusikia kuna mtu anawakosoa? kwenye Nyumba za ibada si tunaambiwa hakuna mwanadamu aliye mkamilifu chini ya Jua?! kwanini wao iwe dhambi kukosolewa na kuwaruhusu walio nnje ya madaraka nao waseme na wasikilizwe!? Afrika 😭 😭 😭 😭
Waafrika sio binadamu kamili. Katika zile hatua za human evolution mwafrika bado yupo hatua za mwanzoni
 
Tz hakuna kilichotokea ni amani ilitawala ni nyumbu wahalifu wachache walishughulikiwa kikamilifu nchi imerudi kwenye amani.
Nani asiyemjua Lucha kuwa ni mwendawazimu wakala wa wa shetani. aliyelaanika yeye na uzao wake. Lucha ni shetani mlamba damu za watu, ndiyo maana damu za watanganyika zilipokuwa zinamwagika, yeye alikuwa kwenye kilele cha furaha. Watu wanadhani shetani ni duni la ajabu, kumbe katika mwili yupo katika maumbile ya kibinadamu kama ya Lucha.
 
Hivi watawala wa kiafrika hawaipendi Internet wakati wa kipindi cha uchaguzi kwanini!? Watawala wa Kiafrika kwanini hawapendi kabisa kusikia kuna mtu anawakosoa? kwenye Nyumba za ibada si tunaambiwa hakuna mwanadamu aliye mkamilifu chini ya Jua?! kwanini wao iwe dhambi kukosolewa na kuwaruhusu walio nnje ya madaraka nao waseme na wasikilizwe!? Afrika 😭 😭 😭 😭
Leo mama abdul amewaomba msamaha mabalozi kwa kuzima mtandao na kukosekana kwa huduma za kijamii Kipindi cha uchaguzi mwaka jana. Hii inakupa picha gani?
 
Watu weusi ni wanyama tu wanaendelea na process ya evolution kufikia ubinadamu miaka ijayo yani, hatuna tofauti na ngiri, fisi na nyegere tu, tunatafuta kushiba, kuzaa na kutoa mbolea ya samadi tu, hatuna cha maana tunachangia duniani yani, hivyo! So hatuna tofauti na ni kweli yanatokea ya Oct 29 Ug kuanzia leo

Not cilivilized kabisa...
 
“Kwa washirika wetu katika jumuiya ya kidiplomasia na raia wa kigeni wanaoishi hapa Tanzania, ninatoa pole za dhati kutokana na hali ya sintofahamu, changamoto ya upatikanaji huduma na kuzimwa kwa intaneti mliokumbana nao. Ninawahakikishia kuwa tunaendelea kuwa makini kuhakikisha usalama wenu na kuzuia kujirudia kwa matukio ya aina hiyo." - Rais Samia Suluhu Hassan akifungua mwaka na mabalozi wanaowakilisha nchi zao Tanzania
 
Hivi watawala wa kiafrika hawaipendi Internet wakati wa kipindi cha uchaguzi kwanini!? Watawala wa Kiafrika kwanini hawapendi kabisa kusikia kuna mtu anawakosoa? kwenye Nyumba za ibada si tunaambiwa hakuna mwanadamu aliye mkamilifu chini ya Jua?! kwanini wao iwe dhambi kukosolewa na kuwaruhusu walio nnje ya madaraka nao waseme na wasikilizwe!? Afrika 😭 😭 😭 😭
Huhitaji internet kupiga kura, halafu hata ruwaichi hapendi kukosolewa
 
Back
Top Bottom