mtafuta-maisha
JF-Expert Member
- Nov 5, 2016
- 1,982
- 2,934
Kwenye tears of the son jamaa anasema God save Africa yule mwingine anajibu God has already forgotten about Africa... Labda ndicho kinachotokea SyriaNimejiuliza hili swali asubuhi ya leo
Tunaambiwa na vitabu vya dini kwamba Mungu ni muweza wa yote,yeye hujua kitu kabla hata hakijatokea
Kauli hii inamaanisha kila kinachotokea huwa kina "approval" ya Mungu
Je Mungu ame "approve" machafuko ya Syria?
Kama haku "approve" kwa nini yametokea?
Mungu haoni kama kuna watoto wanateseka pale,mpaka aombwe?kwa nini anayaacha yaendelee?
Labda wanaosambaza kampeni ya Pray for syria mnaweza jibu maswali haya
Kwa unavotaka weye sijaona sababu ya Mungu wako yesu kukuleta duniani badala ya kukuingiza peponi moja kwa moja π π π
Nahisi we ndio umepoteaUmepotea ww
Jibu hoja mkuiNafkiri haihitaji akili nyingi kujuwa kwamba mungu yupo nayeye ni muweza wa kila kitu..
DaahMungu kayaruhusu yatokee ndio.
Ujue hata Mungu alimruhusu Shetani amjaribu ayubu ?au nahiyo huijui? Umesahau ayubu wanawe saba wakafa ,punda ,ng'ombe wake wakafa, utajir wake ukaisha ,ayubu akapigwa na majibu namadonda na ukurutu na mapele ya kuwasha .
Mungu sindo alimruhusu???. Sasa km aliyaruhusu kwa Ayubu sembuse Ilo ?.
Ndio kaacha litokee hilo kwasababu kuna jambo analohitaji liwe .......
Umesahau Mtime Paulo kbla yakua mtume alikua ni muuaji wa watu akijiita SAULI ?? Lkn mbn baadae Mungu akamchagua kua mtume ??.
Basi niivi Mungu anayaruhusu mambo au watu wawe km vile wanavyoonekana ila kwa lengo jingine.
ila kuna wakat mungu anaacha shetan atende atakayo ili kupima iman zetuKwanza niseme shetan hajafungwa miaka 1000...shetani yupo bado amepewa mamlaka ya kuharibu.
Pili niseme shetan na Mungu nitofauti kabisaaa mmoja ni muharibifu mwingine mjenzi.
ILA kuna wakati Mungu anaacha shetani atende apendavyo ili kuzipima imani na hili kufanya watu waelewe kitu ..ndomaana kuna wakati anasema *watu wangu waangamia kwa kukosa maarifa*.
Nikweli Mungu anaujus ulimwengu mwanzo namwisho LKN hana makusudi,,,, Isipokua kuna mambo mawili unayopaswa kuyajua
Utawala wa Mungu ni wa Kifalme ndomaana hamna cha waziri mkuu wala makamo wala nani ,,Mungu akisema kasema ...naanakuacha ufanye vile upendavyo.
Utawala wa shetani ni wa kidemokrasia ,ndio maana wao unahimiza haki sawaa ,haki yakufanya unachojisikia n.k
Sasa basi inatokea kwa hapa duniani utawala wa shetani unakua nanguvu sana kwasababu Ulimwengu umemezwa namambo mepesi laini namazuri ambayo wanadam wanayapenda.
ndio umejibu niniKwa unavotaka weye sijaona sababu ya Mungu wako yesu kukuleta duniani badala ya kukuingiza peponi moja kwa moja π π π
hizi ndo watu hujidanganya kuwa ni unabii,Kwann Mungu haoni??.
Dameski =Damascus=Syria.
Sasa Ukijipa Muda wa kusoma Biblia mambo haya wala hayatakua yakushangaza nikwann yanatokea ...
Mungu mwenyewe amesema haya
Kwanini Yesu asikuchukue akakuingiza peponi nae ila amekuleta duniani? Kuna haja gani sasa?
wee unachekesha
Utakuja kujicheka mwenyeo na uje uone aibu bure.wee unachekeshakwani abdul qathem alipo kufahamisha kwamba kila umma tumewajaalia kawaida yao ya ibada na sheria zao quran 22:67 kaongopaau wewe huja muelewa? Ibrahim uliye mnukuu ni kaumu gani?
kwani sasa tupo umma upiUtakuja kujicheka mwenyeo na uje uone aibu bure.
Maana unazungumzia Ibada na Sheria wakati kinachozungumziwa ni Sifa.
Ukisema MUNGU HADANGANYI, maana yake hakuna siku hata moja atakayokuja Kudanganya. haijaalishi umma upi.
Kwaio, SIFA sio SHERIA wala IBADA.... Unashindwa kutofautisha ivi vitu.... naongea maembe wewe unaongea shokishoki π π π
Unajipiga mateke mwenyewe, sasa nliposema kuwa Mungu anawapa mtihani watu wake ukaja na bonge la picha kuwa mungu hafanyi ivo vitu, sasa nlipokuletea aya kwenye kitabu chenu wenyewe ukageuka kuwa eti ulikuwa umma mwengine kwaio ibada na sheria ni tofauti (wakati hatuzungumzii ibada wala sheria), sasa hio verse uloileta wewe ni ya umma upi? utwambie ilikuwa lini tukio hilo mpaka hio aya ikasema kuwa mungu hajaribiwi wala hamjaribu mtu?
Nafikiri wewe ndio ungetujibu tupo Umma upi hivi sasa? Kwa sababu nnavojua mimi Mungu anatupa mitihani saiv, na unavotwambia wewe Mungu hampi mitihani mja wake kwa mujibu wa maandiko uloleta ambayo hayakuspecify muda.kwani sasa tupo umma upi
Nani kasema washambuliaji wanafata maagizo ya Mungu ??.
Unajua maana ya ufunuo ??. Sasa ufunuo ni maono yamambo yatakayokua yanatokea either nimazur au mabaya.
Kasome kitabu cha Isaya ..utajua kwann syria ,iran,misri ,tunisia,libya, n.k kwann zimekua ivi zilivyo ?.
Mimi sio theologian ila naamin wakati mwingine mambo haya yanatokea sawa sawa na maandiko kwasababu Mungu anataka watu wamjue.. Ukiingia ndani sanaaaaaaaaaaa utagundua mambo haya yanatokea ili kuhakikisha UKRISTO unaingia ktk nchi za Kiarabu.
Ukifatilia sanaaaaaa utagundua Mzozo wa mashariki ya kati SIO kitu bali ni mzozo wa DINI TU.
Nafikiri wewe ndio ungetujibu tupo Umma upi hivi sasa?
unafikiri nini wakti jibu hili hapaaya hii imeshuka wapi sababu ya kushuka ipi na Abdul Qathem amefundishaje?!.
Kwa sababu nnavojua mimi Mungu anatupa mitihani saiv, na unavotwambia wewe Mungu hampi mitihani mja wake kwa mujibu wa maandiko uloleta ambayo hayakuspecify muda.
niwekee Andiko kama hilo toka Agano kongwe..na sio umebakia andiko halikuspecify muda kwani hujui upo zama zipi?
Ukishajibu hilo na hili unijibu mana huna sifa ya kujibu masuali ukiulizwa maana unaona utadhalilika badala ya kufikiri kuwa utapata elimu, nataka nijue, Mungu huyu wa wakati wa Ibrahim ndio Mungu huyu huyu mnaemfuata wakiristo?
Upo sawa.Nani kasema washambuliaji wanafata maagizo ya Mungu ??.
Unajua maana ya ufunuo ??. Sasa ufunuo ni maono yamambo yatakayokua yanatokea either nimazur au mabaya.
Kasome kitabu cha Isaya ..utajua kwann syria ,iran,misri ,tunisia,libya, n.k kwann zimekua ivi zilivyo ?.
Mimi sio theologian ila naamin wakati mwingine mambo haya yanatokea sawa sawa na maandiko kwasababu Mungu anataka watu wamjue.. Ukiingia ndani sanaaaaaaaaaaa utagundua mambo haya yanatokea ili kuhakikisha UKRISTO unaingia ktk nchi za Kiarabu.
Ukifatilia sanaaaaaa utagundua Mzozo wa mashariki ya kati SIO kitu bali ni mzozo wa DINI TU.