Kinachoendelea Syria, Mungu haoni?

Kinachoendelea Syria, Mungu haoni?

hypothalamus

Senior Member
Joined
Feb 19, 2018
Posts
126
Reaction score
153
Nimejiuliza hili swali asubuhi ya leo
Tunaambiwa na vitabu vya dini kwamba Mungu ni muweza wa yote,yeye hujua kitu kabla hata hakijatokea
Kauli hii inamaanisha kila kinachotokea huwa kina "approval" ya Mungu

Je Mungu ame "approve" machafuko ya Syria?
Kama haku "approve" kwa nini yametokea?
Mungu haoni kama kuna watoto wanateseka pale,mpaka aombwe?kwa nini anayaacha yaendelee?

Labda wanaosambaza kampeni ya Pray for syria mnaweza jibu maswali haya

efca20899c0db0889095f0a75be81344.jpg


d2e99bb857fb05f6b4162deede380592.jpg


Aleppo-boy.jpg
382957449.2.jpg
19544753_303.jpg
 

Attachments

  • images+%2822%29.jpeg
    images+%2822%29.jpeg
    25.2 KB · Views: 172
  • 479.jpg
    479.jpg
    66.6 KB · Views: 132
Nimejiuliza hili swali asubuhi ya leo
Tunaambiwa na vitabu vya dini kwamba Mungu ni muweza wa yote,yeye hujua kitu kabla hata hakijatokea
Kauli hii inamaanisha kila kinachotokea huwa kina "approval" ya Mungu

Je Mungu ame "approve" machafuko ya Syria?
Kama haku "approve" kwa nini yametokea?
Mungu haoni kama kuna watoto wanateseka pale,mpaka aombwe?kwa nini anayaacha yaendelee?

Labda wanaosambaza kampeni ya Pray for syria mnaweza jibu maswali haya

efca20899c0db0889095f0a75be81344.jpg


d2e99bb857fb05f6b4162deede380592.jpg
Nafkiri haihitaji akili nyingi kujuwa kwamba mungu yupo nayeye ni muweza wa kila kitu..
 
Kwa hiyo kinachoendelea ni Mpango wa Mungu?na washambuliaji wanafata maagizo ya Mungu?
Nani kasema washambuliaji wanafata maagizo ya Mungu ??.

Unajua maana ya ufunuo ??. Sasa ufunuo ni maono yamambo yatakayokua yanatokea either nimazur au mabaya.

Kasome kitabu cha Isaya ..utajua kwann syria ,iran,misri ,tunisia,libya, n.k kwann zimekua ivi zilivyo ?.

Mimi sio theologian ila naamin wakati mwingine mambo haya yanatokea sawa sawa na maandiko kwasababu Mungu anataka watu wamjue.. Ukiingia ndani sanaaaaaaaaaaa utagundua mambo haya yanatokea ili kuhakikisha UKRISTO unaingia ktk nchi za Kiarabu.

Ukifatilia sanaaaaaa utagundua Mzozo wa mashariki ya kati SIO kitu bali ni mzozo wa DINI TU.
 
Nani kasema washambuliaji wanafata maagizo ya Mungu ??.

Unajua maana ya ufunuo ??. Sasa ufunuo ni maono yamambo yatakayokua yanatokea either nimazur au mabaya.

Kasome kitabu cha Isaya ..utajua kwann syria ,iran,misri ,tunisia,libya, n.k kwann zimekua ivi zilivyo ?.

Mimi sio theologian ila naamin wakati mwingine mambo haya yanatokea sawa sawa na maandiko kwasababu Mungu anataka watu wamjue.. Ukiingia ndani sanaaaaaaaaaaa utagundua mambo haya yanatokea ili kuhakikisha UKRISTO unaingia ktk nchi za Kiarabu.

Ukifatilia sanaaaaaa utagundua Mzozo wa mashariki ya kati SIO kitu bali ni mzozo wa DINI TU.
Swali langu ni je Mungu amependa hayo yatokee?kama hakupenda kwa nini hakiyazuia kabla hayajatokea?
 
Swali langu ni je Mungu amependa hayo yatokee?kama hakupenda kwa nini hakiyazuia kabla hayajatokea?
Mungu kayaruhusu yatokee ndio.

Ujue hata Mungu alimruhusu Shetani amjaribu ayubu ?au nahiyo huijui? Umesahau ayubu wanawe saba wakafa ,punda ,ng'ombe wake wakafa, utajir wake ukaisha ,ayubu akapigwa na majibu namadonda na ukurutu na mapele ya kuwasha .

Mungu sindo alimruhusu???. Sasa km aliyaruhusu kwa Ayubu sembuse Ilo ?.

Ndio kaacha litokee hilo kwasababu kuna jambo analohitaji liwe .......

Umesahau Mtime Paulo kbla yakua mtume alikua ni muuaji wa watu akijiita SAULI ?? Lkn mbn baadae Mungu akamchagua kua mtume ??.

Basi niivi Mungu anayaruhusu mambo au watu wawe km vile wanavyoonekana ila kwa lengo jingine.
 
Kwann Mungu haoni??.

Dameski =Damascus=Syria.

Sasa Ukijipa Muda wa kusoma Biblia mambo haya wala hayatakua yakushangaza nikwann yanatokea ...

Mungu mwenyewe amesema haya
74286bc867b09a1a27fc48ac53147483.jpg
2072257ef06371637db2ac78fde1f76b.jpg
At times huwa nawaza kuhusu vitabu vya dini na uhalisia wa 'upendo wa Mungu juu ya wanadamu'.
Ni vipi Mungu huyu wa upendo kwetu wanadamu na aliyetuumba wote, ni vipi atuambie kuwa kuna watu wataangamize, je alituumba tuangamie?

At times huwa nawaza hata hii bible kuna watu walikaa wakapanga mipango yao juu ya uelekeo wa hii dunia. Hii bible ni kama coded message tu. Nawaza tu, no offence
 
Mungu kayaruhusu yatokee ndio.

Ujue hata Mungu alimruhusu Shetani amjaribu ayubu ?au nahiyo huijui? Umesahau ayubu wanawe saba wakafa ,punda ,ng'ombe wake wakafa, utajir wake ukaisha ,ayubu akapigwa na majibu namadonda na ukurutu na mapele ya kuwasha .

Mungu sindo alimruhusu???. Sasa km aliyaruhusu kwa Ayubu sembuse Ilo ?.

Ndio kaacha litokee hilo kwasababu kuna jambo analohitaji liwe .......

Umesahau Mtime Paulo kbla yakua mtume alikua ni muuaji wa watu akijiita SAULI ?? Lkn mbn baadae Mungu akamchagua kua mtume ??.

Basi niivi Mungu anayaruhusu mambo au watu wawe km vile wanavyoonekana ila kwa lengo jingine.
Kwahyo kumbe Mungu na shetani ni marafiki wanakaa na kujadili mambo flan flan? Na mbona wanatuambia shetani kafungwa miaka 1000 na Yesu huo mda wa kupiga story na Mungu anaupata wapi?

Kwanini vile wanakutana na shetani Mungu asifanye miujiza yake kumchinjilia mbali ama Mungu anafurahia uwepo wake na anapenda vile wanadamu tunavyoteseka? Maana mamlaka na kila kitu kipo kwa Mungu

Anasema aliujua ulimwengu ata kabla ya kuumbwa kwahiyo yote ni makusudi yake maana uwezo wa kuzuia yeye ulikuepo...na sahivi yupo ku enjoy matunda yake
 
Kwahyo kumbe Mungu na shetani ni marafiki wanakaa na kujadili mambo flan flan? Na mbona wanatuambia shetani kafungwa miaka 1000 na Yesu huo mda wa kupiga story na Mungu anaupata wapi?

Kwanini vile wanakutana na shetani Mungu asifanye miujiza yake kumchinjilia mbali ama Mungu anafurahia uwepo wake na anapenda vile wanadamu tunavyoteseka? Maana mamlaka na kila kitu kipo kwa Mungu

Anasema aliujua ulimwengu ata kabla ya kuumbwa kwahiyo yote ni makusudi yake maana uwezo wa kuzuia yeye ulikuepo...na sahivi yupo ku enjoy matunda yake
Kwanza niseme shetan hajafungwa miaka 1000...shetani yupo bado amepewa mamlaka ya kuharibu.

Pili niseme shetan na Mungu nitofauti kabisaaa mmoja ni muharibifu mwingine mjenzi.

ILA kuna wakati Mungu anaacha shetani atende apendavyo ili kuzipima imani na hili kufanya watu waelewe kitu ..ndomaana kuna wakati anasema *watu wangu waangamia kwa kukosa maarifa*.

Nikweli Mungu anaujus ulimwengu mwanzo namwisho LKN hana makusudi,,,, Isipokua kuna mambo mawili unayopaswa kuyajua

Utawala wa Mungu ni wa Kifalme ndomaana hamna cha waziri mkuu wala makamo wala nani ,,Mungu akisema kasema ...naanakuacha ufanye vile upendavyo.

Utawala wa shetani ni wa kidemokrasia ,ndio maana wao unahimiza haki sawaa ,haki yakufanya unachojisikia n.k

Sasa basi inatokea kwa hapa duniani utawala wa shetani unakua nanguvu sana kwasababu Ulimwengu umemezwa namambo mepesi laini namazuri ambayo wanadam wanayapenda.
 
At times huwa nawaza kuhusu vitabu vya dini na uhalisia wa 'upendo wa Mungu juu ya wanadamu'.
Ni vipi Mungu huyu wa upendo kwetu wanadamu na aliyetuumba wote, ni vipi atuambie kuwa kuna watu wataangamize, je alituumba tuangamie?

At times huwa nawaza hata hii bible kuna watu walikaa wakapanga mipango yao juu ya uelekeo wa hii dunia. Hii bible ni kama coded message tu. Nawaza tu, no offence
Hapana haikuandikwa nawatu kwa manufaa yao.... Isipokua iliandikwa na mitume na manabiii ,ambao walikua wanaoteshwa usingizin n.k.

Ingekua iliandikwa kwa watu kwa malengo yao ,isingekua nanguvu ..lkn pia mwaka 1840 kampen aloingoza mfalme wa ufaransa wa kuhskikisha biblia inafutiliwa mbali ,isingefanyika...lkn ilifanyika ,......nabadae ikashindikana na viwanda vyote vilivyokua vinachapisha Biblia feki ,vikalazimika kuchapisha biblia ya ukweli.

N.b mimi sio Theologian mkuuu..nasoma soma tu km wewe.
 
Nimejiuliza hili swali asubuhi ya leo
Tunaambiwa na vitabu vya dini kwamba Mungu ni muweza wa yote,yeye hujua kitu kabla hata hakijatokea
Kauli hii inamaanisha kila kinachotokea huwa kina "approval" ya Mungu

Je Mungu ame "approve" machafuko ya Syria?
Kama haku "approve" kwa nini yametokea?
Mungu haoni kama kuna watoto wanateseka pale,mpaka aombwe?kwa nini anayaacha yaendelee?

Labda wanaosambaza kampeni ya Pray for syria mnaweza jibu maswali haya

efca20899c0db0889095f0a75be81344.jpg


d2e99bb857fb05f6b4162deede380592.jpg
Physical realm,ni ya wanadamu,Mungu yupo spiritual realm,hawezi kutenda kitu kwenye physical bila sisi kutaka,au kuamua kumshirikisha,
Tukitaka mazuri yatokee hapa duniani,kwenye ulimwengu unaoonekana,physical realm,lazima tumshirikishe Mungu,bila hivyo hatatenda kitu,
"Without GOD we can not,Without us GOD will not"
Yanayotendeka Syria,Somalia,Yemen,Yana mchango wa binadamu,Tukitegemea miujiza kutoka juu,ije isitishe hayo majanga,tutasubiri sana,those miracles will not come,
Kama kikundi tu kama ISIS,kisicho na serikali kimeutetemesha ulimwengu kwa miaka kadhaa,je nchi za ki Arab zikiungana,zikaunda jeshi,zikakusanya rasilimali,wananchi wote Syria,Yemen,Somalia,wangeepuka majanga yote yanayowapata mpaka sasa hv
 
Nimejiuliza hili swali asubuhi ya leo
Tunaambiwa na vitabu vya dini kwamba Mungu ni muweza wa yote,yeye hujua kitu kabla hata hakijatokea
Kauli hii inamaanisha kila kinachotokea huwa kina "approval" ya Mungu

Je Mungu ame "approve" machafuko ya Syria?
Kama haku "approve" kwa nini yametokea?
Mungu haoni kama kuna watoto wanateseka pale,mpaka aombwe?kwa nini anayaacha yaendelee?

Labda wanaosambaza kampeni ya Pray for syria mnaweza jibu maswali haya

efca20899c0db0889095f0a75be81344.jpg


d2e99bb857fb05f6b4162deede380592.jpg
Kwani wanaoteseka Libya, Iraq, South Sudan, Congo nk ni watoto wa mbuzi?
 
hivi karibuni yehova mungu ataingilia Kati mfumo wa ibilisi shetani na serikari zake zote hapa duniani katika vita ya harmagedon na kuwaa uwa watu wote waovu na kubakiza waadilifu tu na shetani atafungwa miaka elfu mmoja hamta yaona tena haya ya vita njaa wala ukosefu wa haki na mungu atasimamisha serikari yake ya kimbingu chini ya mfalme yesu kristo
 
Hapana haikuandikwa nawatu kwa manufaa yao.... Isipokua iliandikwa na mitume na manabiii ,ambao walikua wanaoteshwa usingizin n.k.

Ingekua iliandikwa kwa watu kwa malengo yao ,isingekua nanguvu ..lkn pia mwaka 1840 kampen aloingoza mfalme wa ufaransa wa kuhskikisha biblia inafutiliwa mbali ,isingefanyika...lkn ilifanyika ,......nabadae ikashindikana na viwanda vyote vilivyokua vinachapisha Biblia feki ,vikalazimika kuchapisha biblia ya ukweli.

N.b mimi sio Theologian mkuuu..nasoma soma tu km wewe.
ni kweli mkuu, najaribu kuwaza tu, yawezekana kuwa mfalme hakua miongoni mwao waandishi-ndio maana akaanzisha kampeni hyo, lakini kwa kuwa kuna 'kundi la watu' wenye nguvu na hodhi ya mamlaka, ndio maana ikasurvive. Najaribu kuwaza tu. Ni vipi huyu Mungu awe muangamizaji kiasi hiki, na hata yote haya yatokeayo damascus yawe yote ameyatabiri(au kuyapanga kwa lugha nyingine).
 
Back
Top Bottom