Kinachoendelea mkoani Pwani barabara ya Morogoro

Kinachoendelea mkoani Pwani barabara ya Morogoro

Mshana Jr

Platinum Member
Joined
Aug 19, 2012
Posts
371,026
Reaction score
859,123
Zoezi linaloendelea sasa ni vijana wa TRA kufunga vituo vyote vya mafuta ambavyo havina mashine ya VAT iliyounganishwa Direct na [emoji618]️ pump
Tayari Delina na Lake oil wameshapigwa utepe mwekundu ule wa pundamilia
Safari inaendelea kuelekea kwa Mathias

Angalizo muhimu: kama una mpango wa kujaza mafuta mitaa hiyo ahirisha na ujaze kituo jirani nawe.... Usije kukwama safari

Sent from my Infinix NOTE 3 using JamiiForums mobile app
 
Angalizo muhimu: kama una mpango wa kujaza mafuta mitaa hiyo ahirisha na ujaze kituo jirani nawe.... Usije kukwama safari

Yamemkuta taxi driver wangu juzi pale Mwenge chombo kilizimika katikati ya barabara, naambiwa alienda kupata kiwese Magomeni na ratiba yangu kuvurugika
 
!
!
Wanaounga mkono hoja waseme ndio NDIOOOOOOO wanaopinga hoja waseme sio SIO. Wanaounga mkono hoja wameshinda, katibu hoja inayofuata
 
Ukurupukaji jumlisha wivu chuki uzandiki na kero na kukomoana ndio yataendelea hadi 2020 tuvumiliane ndugu wananchi maagizo tu haya tunapewa
 
Jiandaeni na muweke vizuri maelezo kuwa ulipataje mali zako ndio kinachofuata siku za usoni.. wenye magari zaidi ya mawili nyumba mbili tatu kazi mnayo...
 
Jiandaeni na muwekea vizuri maelezo kuwa ulipataje mali zako ndio kinachofuata siku za usoni.. wenye magari zaidi ya mawili nyumba mbili tatu kazi mnayo...
Hat ukiwa na chumba na sebule bado serikali ikitaka kukufuatilia umepataje hela zako itakukamata tu
 
Ukurupukaji jumlisha wivu chuki uzandiki na kero na kukomoana ndio yataendelea hadi 2020 tuvumiliane ndugu wananchi maagizo tu haya tunapewa
*** you wewe Wa. Wapi unaongea ujinga kwenye mambo muhimu ya kitaifa kuhusu kodi again *** you bush carsus

Post sent using JamiiForums mobile app
 
**** you wewe Wa. Wapi unaongea ujinga kwenye mambo muhimu ya kitaifa kuhusu kodi again **** you bush carsus

Post sent using JamiiForums mobile app
Ukweli always huuma. Kodi haitafutwi kijinga jinga.. hadi udharaulike.. system zisizo na kero zipo nyingi... au mpaka Magufuli alingilie kati kuwa TRA wawape bure machine za receipts kuliko kuendelea kupoteza kodi kijinga
 
Mi nakaa Njiro, route yangu ni Njiro to Tengeru mara nyingi, sijapata shida hata mara moja.
 
Back
Top Bottom