Bado zzk ni shuja, mlango mmoja ukifungwa mwingine hufunguliwa
Hakika umenena, Kazi wafanye wengine kula ule wewe haya ni mambo ya Fisi hayakubaliki,
GT,Hata mimi nashangaa,wote wanamapungufu,lakin katika ujenz wa chama, zzk hahusiki isipokuwa anajijenga yeye tu,hana team work ila anataka uenyekiti,unaibu katibu mkuu umemshinda nafasi ambao mwenzie mwiguru anaitumia ipasavyo, anataka urais wa nchi..? Inajijenga yeye,mbinafs hakika naanza kupata mashaka sana na wanasiasa wa kigoma.ZZK ni shujaa?
ila Zitto aliwahi kuchukua ela na cheki kwa CCM ili aimalize CHADEMA? Je Zitto anatishia kuua watu? Je, Zitto anauza utu wake? Je, Zitto ni mnafiki? kama ndivyo kwanini kamati kuu haikumvua nyadhifa zake na kumshitaki kwa makosa hayo? Kwanini makosa ya Zitto yaliyotangazwa na Lissu kwa niaba ya chama si hayo ya kutumika na CCM, kuchukua fedha toka CCM na TISS, na kuuza majimbo kwa CCM? Kwanini chama kiliendelea kukanusha kuwa sababu za kumvua nyadhifa Zitto si hizo hata mara baada ya Zitto kusema WARAKA haukumvua nyadhifa zake? Je, tukisema hizo ni propaganda zenye lengo la kuumpa mbwa jina baya ili mpate kuhalalisha kitendo cha kumuua huyo mbwa tutakosea?
Zitto atakuja kuonekana shujaa kama tuhuma za usaliti dhidi yake ni propaganda za kum-maliza kama vile uhaini kwa Mandera ulivyokuwa ni propaganda za Makaburu, na kitendo cha Lissu kukana hizo tuhuma kuwa si sababu za Zitto kuchukuliwa hatua za kinidhamu ni kiashiria tosha kuwa hizo tuhuma ni propaganda za maadui wa Zitto, na tutasikia mengi kabla ya Zitto kufukuzwa chadema RASMI.
Hiki anachofanyiwa Zitto ni dhambi kama itakuwa ni njama za kummaliza, na haitawaacha salama wale walioifanya, ni sawa na kula nyama ya mtu, leo utakula familia za majirani, ukiwamaliza hao utaanza kuila familia yako. Utaanza na beki tatu, kisha watoto na utamalizia kwa mke. Hili likija kutokea nyinyi mabeki tatu mnaoshinnda mitandaoni mtatamani ardhi ipasuke muingie mjifiche, lakini ardhi haitapasuka na mtaliwa huku mwajiona.
Pia eleweni hadi sasa kuna baadhi ya watu wameshastuka, iweje kila mwenye kuhoji utendaji kazi wa Mbowe aitwe msaliti? Kwanini kila mwenye kuhoji matumizi ya fedha aonekane msaliti? Kwanini Chacha Wangwe aliandamwa ikiwa hoja zake hadi sasa hazijajibiwa? Kwanini watu wanaishiwa kuitwa wasaliti bila hoja zao kujibiwa au kufanyiwa kazi?
Tuache chuki na kuzushiana, kwani hazitujengi hata kidogo na tabia hizi zinafanya chama kuonekana mali ya watu badala ya mali ya wanachama. Tuhuma zisizothibitishwa ni uzushi, uzandiki na siasa chafu zenye lengo la kutimiza malengo binafsi badala ya chama.
Njano5.
0655345394
Nelson Madiba Mandela alikuwa mhaini na akafungwa na alipokuwa kifungoni wananchi walimuona ni shujaa na mwisho wa siku akawa rais wa hao waliomfunga na wananchi waliokuwa nyuma yake. Unaweza kumwita ZK msaliti lakini wananchi wake wanamhitaji
teh teh jf raha!Mkuu M4C hapo haiusiki, Labda ile (P4C) Panya 4 change.
ila Zitto aliwahi kuchukua ela na cheki kwa CCM ili aimalize CHADEMA? Je Zitto anatishia kuua watu? Je, Zitto anauza utu wake? Je, Zitto ni mnafiki? kama ndivyo kwanini kamati kuu haikumvua nyadhifa zake na kumshitaki kwa makosa hayo? Kwanini makosa ya Zitto yaliyotangazwa na Lissu kwa niaba ya chama si hayo ya kutumika na CCM, kuchukua fedha toka CCM na TISS, na kuuza majimbo kwa CCM? Kwanini chama kiliendelea kukanusha kuwa sababu za kumvua nyadhifa Zitto si hizo hata mara baada ya Zitto kusema WARAKA haukumvua nyadhifa zake? Je, tukisema hizo ni propaganda zenye lengo la kuumpa mbwa jina baya ili mpate kuhalalisha kitendo cha kumuua huyo mbwa tutakosea?
Zitto atakuja kuonekana shujaa kama tuhuma za usaliti dhidi yake ni propaganda za kum-maliza kama vile uhaini kwa Mandera ulivyokuwa ni propaganda za Makaburu, na kitendo cha Lissu kukana hizo tuhuma kuwa si sababu za Zitto kuchukuliwa hatua za kinidhamu ni kiashiria tosha kuwa hizo tuhuma ni propaganda za maadui wa Zitto, na tutasikia mengi kabla ya Zitto kufukuzwa chadema RASMI.
Hiki anachofanyiwa Zitto ni dhambi kama itakuwa ni njama za kummaliza, na haitawaacha salama wale walioifanya, ni sawa na kula nyama ya mtu, leo utakula familia za majirani, ukiwamaliza hao utaanza kuila familia yako. Utaanza na beki tatu, kisha watoto na utamalizia kwa mke. Hili likija kutokea nyinyi mabeki tatu mnaoshinnda mitandaoni mtatamani ardhi ipasuke muingie mjifiche, lakini ardhi haitapasuka na mtaliwa huku mwajiona.
Pia eleweni hadi sasa kuna baadhi ya watu wameshastuka, iweje kila mwenye kuhoji utendaji kazi wa Mbowe aitwe msaliti? Kwanini kila mwenye kuhoji matumizi ya fedha aonekane msaliti? Kwanini Chacha Wangwe aliandamwa ikiwa hoja zake hadi sasa hazijajibiwa? Kwanini watu wanaishiwa kuitwa wasaliti bila hoja zao kujibiwa au kufanyiwa kazi?
Tuache chuki na kuzushiana, kwani hazitujengi hata kidogo na tabia hizi zinafanya chama kuonekana mali ya watu badala ya mali ya wanachama. Tuhuma zisizothibitishwa ni uzushi, uzandiki na siasa chafu zenye lengo la kutimiza malengo binafsi badala ya chama.
Njano5.
0655345394
Mnachelewa sana kumfukuza.
Hivi unajua Zitto amefanya mangapi na Mbowe? Unajua kama Zitto anajua vitu vingi vizuri na vibaya juu ya Mbowe? Kiasi kwamba kama akiamua kuyasema yote kwa ushahidi alionao basi Mbowe siasa basi!!
So kwa mantiki hiyo, Zitto hatakaa afukuzwe kwenye chama, labda kama Mbowe sio Mwenyekiti, ila kama Mbowe ni Mwenyekiti Zitto ni mwanachama.
hata mandela aliitwa msaliti kwa kuwa tu alitaka uhuru na haki sawa kwa wote yaani waafrika na wazungu ila mwisho wa siku aliibuka shujaa. Zito kukubalika na cdm na ccm sioni kama ni tatizo kwani tunahitaji kiongozi atakayetuunganisha wote kwani siasa si uadui, upinzani haimanishi kuwa watu wa vurugu wasiotii mamlaka na vyombo vya usalama hadi kufikia hatua ya kusababisha mauaji. Zito anafanya siasa za kistarabu zenye lengo la kuikomboa tanzania toka mikononi mwa mkoloni mweusi(ccm). Na ili cdm ichukue dola inabidi ibadili mtazamo wa namna inavyoendesha siasa zake, na mtu pekee anayeweza kufanya kazi hiyo ni zzk.
Status yake ya Naibu Katibu Mkuu WA ZAMANI ipo lakini pia mtuhumiwa wa mashtaka 11 anayotakiwa kujibu kamati kuu kwa hiyo nilimshauri aangalie asije akazidi kuivunja katiba maana mashataka hayo hujibiwa ndani ya vikao na sio kama alivyofanya Serena.It was a mere candid advice.
Pls usimtukane Mandela kiasi hiki.Muache apumzike kwa Amani
Mandela hajawahi kuchukua hela kwa makaburu.Hajawahi kuchukua cheki.Hajawahi kuwa na chuki na kutishia kuua watu.Hajawahi kuuza utu wake na watu wake.Hajawahi kuwa mnafiki
Please ,spare us with your ignorance!
Kwa taarifa zaidi, Maandalizi yanaendelea vizuri ikiwa ni pamoja na kurushwa live kwa mkutano huo na kituo cha startv huku uratibu mzuri ukiwa chini uv-ccm.
Ni swali tu, CHADEMA kuna wanaume wanakula wanaume?Yaani mtu akila raha na hawala yake ni usaliti labda kama wewe ni mke wa Mbowe...