Chanzo ni taarifa ya habari ya tbc1 ya saa 1 asubuhi ambapo wameonyesha mkurugenzi akitoa matokeo hayo usiku wa manane kuamkia leo.
Chanzo ni taarifa ya habari ya tbc1 ya saa 1 asubuhi ambapo wameonyesha mkurugenzi akitoa matokeo hayo usiku wa manane kuamkia leo.
nyie watu wa chadema ni watu wa ajabu sana. Kwani lipumba kupata kura nyingi kuliko slaa ni tatizo? Au kwa kuwa kwenyehilo jimbo kuna waikristu wengi? Inajulikana uchaguzi wa mwaka huu ni waislamu vs waikristu inasikitisha sana ila matokeo ya urais yanaonesha hali hiyo.